Wewe kama mzazi au mtoto ungefanyaje kwa hili?

MPAMBANAJI.COM

JF-Expert Member
Mar 2, 2011
712
331
Wewe ni baba ndani ya familia au hata kama ni wazazi wako,bahati mbaya au nzuri we ni mkali na ukikohoa tuu watoto na mke wanashtuka na wanaitika,siku moja wakaja Polisi home kukuarest,kabla BABA hujajibu unakatwa wenge(kofi/kichapo) na wote home wanakuona,hujajibu unapigwa tanganyika jeki,ili kuuwa so mbele ya mke au watoto utafanyaje wewe kama Baba?
Na wewe kama mtoto au mke ungefanyaje?

Nicheke vipi leeeeeeeeeeeeeeeeeeeeooooooooooooooooooooooooooooo
 
Back
Top Bottom