Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,705
- 36,158
Sina muda wa kupoteza, natupa kiberiti kichakani. Wa kuungua aungue wa kujisalimisha ajisalimishe.
Mungu alijua kabisa kuwa wanaume ni watu watata na wenye utawala ndani yao. Hivyo anahakikisha kila mtoto anayetaka kiunoni mwa mwanaume lazima afanane naye, lazima. Bila kujali jinsia ya mtoto.
Kama huijui vizuri sura yako au mwonekano wako watazame wazazi wako hasa mama yako maana yawezekana baba yako naye alichezewa mchezo.
Mimi wife akizaa tu ile namwangalia mtoto nikiiona sura ya maza tu nasema good naandaa zawadi kwa wife.
Kama huyo mtoto wako hajalandana na wewe ndugu mlee tu kama kiumbe wa Mungu ukitaraji thawabu za Muumba ila si wako.
Mungu alijua kabisa kuwa wanaume ni watu watata na wenye utawala ndani yao. Hivyo anahakikisha kila mtoto anayetaka kiunoni mwa mwanaume lazima afanane naye, lazima. Bila kujali jinsia ya mtoto.
Kama huijui vizuri sura yako au mwonekano wako watazame wazazi wako hasa mama yako maana yawezekana baba yako naye alichezewa mchezo.
Mimi wife akizaa tu ile namwangalia mtoto nikiiona sura ya maza tu nasema good naandaa zawadi kwa wife.
Kama huyo mtoto wako hajalandana na wewe ndugu mlee tu kama kiumbe wa Mungu ukitaraji thawabu za Muumba ila si wako.