Wewe dada nakuhurumia... 30 yrs!

sasa aliyeanza mapema hiyo michezo akifikisha 30 itakuwaje ? Kwahiyo mleta mada anakaushauri kazuri ila kakaleta vibaya
Kiukweli ujumbe umefika lakini dhana uliyotumia siyo
 
Laiti ungejua mipango ya Mungu kwa kila mmoja. Nimeshuhudia mwanamke mwenye 40 plus akiolewa na mume wanaekaribiana umri wamezaa na wana maisha mazuri tu. Yeye hao 30's hawamfai ila huwa wanaolewa na wanaowafaa.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Endelea kuongea huku hao wa 30 wananunuliwaa mashera na wakaka wa rika lako!!! [HASHTAG]#usitakeMfanane[/HASHTAG]
Unachoona sumu, kwa mwenzio ni nyama
 
Acha ubwege wewe, Tafuta Pesa Na umrudie mungu wako, Unasema kbsa una miaka 30 bila aib unatuletea mada kujigamba kumchezea mdada, hiv wewe unajihc bado n mtoto hapo?
 
kwanza kwa umli wako tulitarajia uje humu kuwapa ushaur watu ambao hatujaoa au bas hata kdg kuomba ushaur kwa walio oa,kuonesha km unakaribia kuoa. jitu zima ndo kwanza unazungumzia ku enjoy na sio future. Buushit what a Substandart idea?
 
Acha uongo, nagegeda mwanamama ana (40+ - yrs) n bdo kitu ipo vzur tu.... Uctake kuwakatsha tamaa, acha io c poa kbsa
Huyo atakuwa anatumia vilainishi vilivyopigwa marufuku na wizara ya afya. 40+ k haitoi majimaji tena inakuwa inakauka. Anavumilia tu huyo. atakuwa anaumia mno ila atafanyaje sasa na anahitaji ugali toka kwako
 
Laiti ungejua mipango ya Mungu kwa kila mmoja. Nimeshuhudia mwanamke mwenye 40 plus akiolewa na mume wanaekaribiana umri wamezaa na wana maisha mazuri tu. Yeye hao 30's hawamfai ila huwa wanaolewa na wanaowafaa.
Acheni maneno ya kufarijiana ninyi akina dada. Mwanamke mwenye 40 ni bibi kabisa huyo. Nyonga hazitanuki tena na K ndo ishaziba kabisa. Unamuoa wa nn huyo?
 
Endelea kuongea huku hao wa 30 wananunuliwaa mashera na wakaka wa rika lako!!! [HASHTAG]#usitakeMfanane[/HASHTAG]
Unachoona sumu, kwa mwenzio ni nyama
Limbukeni ndiyo huwa wanaoa. Wametoka Kolomije wamevamia mji, lkn wakishauzoea mji ndo unasikia ndoa ndoano. Hivi nakuoaje wewe mwenye 30 wakati wenye 18+ wako kibao? Nikuoe wewe ajuza kwa kipi hasa?
 
Duu! Kama kigezo chako kikubwa cha kuoa ni activeness ya kwenye 6*6, basi pole sana. Mke au mume ni zaidi ya hicho kigezo chako.
 
Limbukeni hao. Wametoka Kolomije wamevamia mji. Hivi nakuoaje wewe mwenye 30 wakati wenye 18+ wako kibao? Nikuoe wewe ajuza kwa kipi hasa?
Ndo mana nikasema USITAKE MFANANE!!!
hamjazaliwa wote sehemu moja, hamjalelewa na familia moja na hamjasoma shule moja... Exposure ni tofauti sana. Ko fikra zako haziwezi kua sawa kwa wote! Wanaume wengine wanataka kuoa agemates na wengine wanawake waliowazidi umri... Kila mtu ana anachotaka kwa mwanamke wake. Kama wewe unataka ubichi sijui ndo kuzalisha sana hao 18+ watakufaa vizuri tu!!! Ila kuna hao unawataka wamechakaa na wana qumer midebwedo kuliko ata hao maajuza unaozungumzia!!! Muulize Diamond kwanini alimuacha Wema akamfuata Zari.
 
Acha ubwege wewe, Tafuta Pesa Na umrudie mungu wako, Unasema kbsa una miaka 30 bila aib unatuletea mada kujigamba kumchezea mdada, hiv wewe unajihc bado n mtoto hapo?
Kila mtu na maisha yake. Kama wewe hela ndo kila kitu kwenye maisha yako endelea kuzitafuta uwe nazo nyingi. Mimi niache na maisha yangu na wala hayakuhusu.
 
Huyo atakuwa anatumia vilainishi vilivyopigwa marufuku na wizara ya afya. 40+ k haitoi majimaji tena inakuwa inakauka. Anavumilia tu huyo. atakuwa anaumia mno ila atafanyaje sasa na anahitaji ugali toka kwako
Hiyo sayansi yako ndo naisikia leo!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Fanya research yako vizuri!!!
 
Angalia sana, wanao wa kike na dada zako nao watafanywa hivohivo...
 
kwanza kwa umli wako tulitarajia uje humu kuwapa ushaur watu ambao hatujaoa au bas hata kdg kuomba ushaur kwa walio oa,kuonesha km unakaribia kuoa. jitu zima ndo kwanza unazungumzia ku enjoy na sio future. Buushit what a Substandart idea?
Asante kwa kuunga hoja yangu mkono. Kama mm mwanaume 30 unaniona jitu zima vipi hili zee la kike lenye umri kama huo eti linatafuta mume wa kulioa saa hz.

Jamani tuwe wakweli mmama wa miaka 30 hafai kuolewa.
 
Acha ubwege wewe, Tafuta Pesa Na umrudie mungu wako, Unasema kbsa una miaka 30 bila aib unatuletea mada kujigamba kumchezea mdada, hiv wewe unajihc bado n mtoto hapo?
[emoji23][emoji23][emoji23] mwenzenu yeye anajiona mtoto!!!
Hana lolote huyo anaogopa matimbwili ya wanawake wakubwa!!! Hawatakagi ujinga ujinga ndo maana anataka vitoto avionee!!! Wanawake wakubwa wanakupima uwezo kuanzia kwenye nywele mpaka miguu!!!
Vitoto ndo vinaangalia aina ya simu unayotumia, sijui hela ya kununulia chips [emoji23][emoji23][emoji23]
 
aa maisha yanapangwa na mwenyezi mungu mkuu maria carey aliolewa na nick cannon yupo zaidi ya 40 na nick 30 na wakazaa mapacha, janeth jackson aka janaat wisam alnar amezaliawa 1965 mume wake wissam almar amezaliwa 1975 last year janeth amepata mtoto wa kwanza,
 
sasa aliyeanza mapema hiyo michezo akifikisha 30 itakuwaje ? Kwahiyo mleta mada anakaushauri kazuri ila kakaleta vibaya
Ivi mnadhani kila mwanamke anabadilisha tu wanaume hovyo eenhe!!! Unaweza kuta mtoto ya 18 kaingiliwa na midudu aina nyingi kuliko ata huyo mdada wa 30
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…