...Mush Mandela ameshaondolewa kwenye hiyo list like 3 month ago na motion iliyowekwa na Congresswoman from California(dont remember the name),lakini technically he was not considered terrorist na United States na ndi maana anaweza kuingia states na kufanya chochote na ni kiongozi wa kwanza mwafrika kuhutubia Congress na kutunukiwa Gold congressional medal(highest honor from the congress)...acha kumfanya Mandela yuko considered as Osama in States ni mtu anaheshimika sana huku na hata serikali ya Marekani wanamuheshimu na hata akija ingawaje sio Raisi ana uwezo wa kwenda White House na last time alivyokuja ingawaje hakuonana na Bush lakini alipewa secret service(i was there)....so no such thing as terrorist Mandela!
Leta udhibitisho kuwa mandela katolewa kwenye listi ya ugaidi!
we unafikiri kwanini Mandela yuko kimya?
Anajua anachofanya!
Akimtetea Mugabe wazi wazi wanaweza kumkamata tena! BUSH NA CHENNEY NA LABDA CONDOLLEZA RICE HAWAKUTAKA AWE HURU!
MWALIMU KAFA...BALI MADIBA YU HAI!
TUMUUNGE MKONO!
AKIMWAMBIA KIKWETE AENDE VITANI HATA MIMI NITAJIADIKISHA KWENDA VITANI KUMUONDOA MUGABE KAMA KWELI HIO NDO LAST OPTION!
MWALIMU ALING'ATUKA KWA SHINIKIZO LA MAGHARIBI MARA BAADA YA USSR KUANGUKA!
HUWA NAWAAMBIA WAZUNGU HATA NADARASANI!
HAWAKUUPENDA USOSHALISTI LAKINI KAMA SIO USOSHAKISTI WALIOAMUA KUUKUMBATI KINAFIKI...BASI HATA MAREKANI INGEKUWA KAMA URUSI!
FBI ILIYOANZISHWA ILIDHIBITI HALI HIYO!
WAKAAMUA KUWAPA WATU PESA KAMA HAWANA KAZI!
YMCA IKAANZISHWA KWANI KARL MAX ALIKUWA ACHUKUE DUNIA!
NINAWAPA HATA WAMAREKANI USHAURI...SITAKI UKOMUNISTI WALA UBEPERI!
NATAKA HAKI...HAKI HAAITAJI COMMUNISM,SOCILALISM MA AYTHING ELSE!
JUSTICE,DIGNITY AND EQUALITY DEMANDS EMPATHY!
THE ABILITY TO CONSIDER OTHER HUMAN BEINGS BEFORE DOGS OR ANY KINADA PETS!
DIGNITY FIRST!
LAKINI SI SINCLAIR,BLAIR,BUSH WALA MWINGINE YEYOTE YULE!
TANZANIA...KWANINI MADIBA HAJAVUSHA MGUU TANGU MWALIMU AFE KAMA KWELI TUNA USHAWISHI NA MATAIFA YAKUSINI KAMA BEFOR?
FUNGUENI MACHO WATANZANIA!
AMANI TULIYONAYO ITATUPA CREDIBILITY YA KUWA VIONGOZI WA AFRIKA KAMA MWALIMU ALIVYOKUWA!
NA SI KAMA KIKWETE ALIVYOIPOTEZA KWA KUWAKUMBATIA NA KUWASAFISHA MAFISADI BILA YA KUSIKILIZA USHAURI KUWA HATA TANZANIA NI NCHI YA MUNGU NA SI IRAN AMA MAREKANI PEKEE!