Wenzetu waanza kupewa kadi za kuthibitisha wamepata chanjo ya Corona kama Jumuiya ya Kimataifa inavyoelekeza

nyie wabongo mlioshindwa kutengeneza hata pamba ya kuoshea vidonda mnapata wapi ujasiri wa kuipinga chanjo ya corona Masikini wakubwa nyie !
Masikini ni wewe, uliyekimbia Kyela na kuchagua upayukaji usio na uhakika ni kitu hasa huwa unakitaka na kutoka wapi?

Hakuna mtu aliyekuzuia kuvuka mpaka kwenda nchi jirani kudungwa virusi vya UVIKO ili uweze kwenda popote, kununua chochote, popote na kwa unafuu kwa kuwa utakuwa umesajiliwa rasmi wewe ni sehemu ya kimelea cha virusi sumbufu kwa afya ya binadamu. [Vector
 
Hata wale wapiga kelele kuisemea chanjo wengi wao si wanasayansi...
Ni mashabiki kama ulivyo wewe...
Na hoja si lazima ipingwe kwa sayansi...
Bali kuna mazingira ya kimatukio yanaweza kufanya hoja kupingwa... Na ikaleta maana
Tatizo lenu kubwa nyie supporters wa hiyo chanjo mpo kupinga kwa kelele nyingi
Umeshawahi kutengeneza chanjo yoyote?
 
Kama wote mlivyokwisha sikia kwamba kuna maeneo bila kuwa na ushahidi kwamba umechanjwa ili kujikinga na Corona hutakanyaga wala kutia pua yako, basi nchi zilizostaarabika na kuamua kufuata mwongozo wa WHO zimeanza kuwapa kadi za uthibitisho wa chanjo raia wake waliochanjwa ili wawe huru kupokelewa popote waendapo duniani.

Swali: Je, sisi Watanzania wengine ambao ni wafanyabiashara wa Kimataifa, tunaolazimika kusafiri hapa na pale duniani kwa sababu za kibiashara tufanyeje?

I guess,
Hapa kwetu ikiamuliwa watu wapigwe chanjo basi tutalipishwa kama ID kadi za wamachinga.
 
Bado ile ya kuonyesha ili upewe huduma fulani, hutanunua wala kuuza bila hiyo chapa, hutacheza na wenzako bila hiyo kitu, hutasafiri bila hiyo, sasa ndo sasa imekuja taratibu kimafumbo ili ikigeuzwa kwamba tupgiwe mikononi hakuna mtu ataamini kama ni kamchezo ka chapa, zaidi zaidi wengi wataona afadhali mana walikuwa wanateseka kutembea na kadi zao, na kuna muda hizo kadi zinapotea😁, mkuu hatutaelewa haraka haraka mana mwenyezi Mungu huwafanya watu kuwa na mioyo migumu ili maandiko yatimie mf Farao alipewa moyo mgumu ili maandiko yatimie, Petro kumkana Yesu hakukusudia ila alipewa moyo mgumu bc ili maandiko ya jogoo kuwika yatimie😁😁😁
Ko we unajua Bible kuliko Mzungu aliyeileta? Ebu rudia kufikiri
 
Tunahitaji vijana wa TISS wenye weledi watengeneze card million 60 kwa ajili ya watanzania, kenya, rwanda, burundi na ethiopia
 
Utafika wakati serikali itabidi ikubali WHO walete chanjo na wao wenyewe wasimamie utaratibu wa kuzisambaza wakati serikali ikiona aibu kukubali kuhusishwa na chanjo hizo!! Serikali itabidi ijifanye hamnazo wakati wananchi wanapatiwa chanjo!

Serikali ikiendelea na upuuzi wa kukataa kuleta chanjo ,wananchi wengi itabidi wazifuate nchi jirani ambako itabidi waingie gharama kubwa ili kuhudumiwa!!! Wananchi wakianza kwenda nchi za nje kufuata chanjo uchumi wa nchi utatetereka kwani resources will be drained out of the country!!!
Najipanga kwenda Kenya jirani hapo no matter what.
 
Vuta subira kwasababu hivi sasa allocation yao ya chanjo ni ndogo sana ukilinganisha na population yao; hiyo haitakuwa rahisi kwa wakimbizi kuhudumiwa!!
Ndio nilikuwa nasoma hapa habari zao, wamesema wataanza na special groups like watumishi wa umma, taasisi za kimataifa then wengine sawa mkuu, wacha nivute subira. Ila watanzania wameamua kuweka maisha yao rehani kwasababu ya mtu mmoja anayejiita mwanasansi alafu hafuati taratibu za kisayansi na wengine wote kutetea matumbo yao wanatii. Sasa Kuna haja gani ya kujisifia na elimu yake? And above all hii nchi sio ya kifalme...
 
Ktk hili ni wazi hii vaccine card itakuwa ndio funguo ya kuingia hata ulaya na amerika. Sasa mbaya zaidi ni kwa upande wa chima wale ndio washenzi wa karne na kipimo chao cha speaker ati ni lazima upimwe corona kwa kutumia kipimo cha speaker eiiiiiiiiii bora niende chatooooooh
Wananchi wa China wanakipinga hiko kipimo maana kinawadhalilisha. Sasa serikali yao sijui imeamuaje kuhusu huko kipimo so far...
 
hatari yake ni kwamba bado ni chanjo za majaribio, hakuna uhakika juu ya chanjo hizi ndio maana hata baadhi ya mataifa yaliyo tengeneza chanjo hizi kama vile Ujerumani, ufaransa na hata Marekani yenyewe bado wanamalumbano makali sana juu ya uhakika wa chanjo hizi ipi inafaa ipi haifai, bado ni majadala,
, sembuse kwa sisi ulimwengu wa tatu!!! kuwa makini
Kama ungekuwepo miaka hiyo chanjo ya polio inagunduliwa, usingeandika hiki!!vile vile miaka kama minne nyuma wakati chanjo ya ebola inagunduliwa watu kama wewe walikuwa wengi sana!!lakini kwa sasa hawana la kusema!!zama hizi teknolojia imekuwa kubwa sana, na kuna viwanda vingi, na kila kiwanda kina wataalam wake, ndio maana kuna chanjo inatolewa mala moja tu na sio mala mbili, kwenye hizi za covid 19!!leo si nimeona mmezindua LI JI MTAMBO LA NYINGU pale muhimbili?!!hongereni sana!!!sayansi ni sayansi tu, sio elimu ya siasa!!
 
Kama ungekuwepo miaka hiyo chanjo ya polio inagunduliwa, usingeandika hiki!!vile vile miaka kama minne nyuma wakati chanjo ya ebola inagunduliwa watu kama wewe walikuwa wengi sana!!lakini kwa sasa hawana la kusema!!zama hizi teknolojia imekuwa kubwa sana, na kuna viwanda vingi, na kila kiwanda kina wataalam wake, ndio maana kuna chanjo inatolewa mala moja tu na sio mala mbili, kwenye hizi za covid 19!!leo si nimeona mmezindua LI JI MTAMBO LA NYINGU pale muhimbili?!!hongereni sana!!!sayansi ni sayansi tu, sio elimu ya siasa!!
Inaonekanaa hujui unachoandika.


1. Katika historia ya chanjo duniani, ni chanjo gani imewahi kugundulika ndani ya mwaka mmoja tangia ugonjwa ujitojeze?


2. Una uhakika unachanjwa mara moja ? , Kuna chanjo hapo Us unachanjwa mara 2
 
Za china na Mrusi ila sio za mabesti wake mbeligiji
Hahaaaa!!misaada ya kuendesha nchi mabest zake lisu ndio mnawategemea, mikopo karibia asilimia 80 ni wao!!hao warusi na wachina wanakuwa wapi?!!ni suala la muda tu, maji lazima myaite mmaa!!eti vita ya kiuchumi nani awe na vita vya kiuchumi na nchi ambayo hadi vyoo tu vya shule ni msaada?!!eti omba omba anampiga mkwala tajiri!!
 
Inaonekanaa hujui unachoandika.


1. Katika historia ya chanjo duniani, ni chanjo gani imewahi kugundulika ndani ya mwaka mmoja tangia ugonjwa ujitojeze?


2. Una uhakika unachanjwa mara moja ? , Kuna chanjo hapo Us unachanjwa mara 2
Ndio tatizo la kuwa na akili za kushikiwa bila kutumia za kwako, kwa hiyo kama miaka hiyo chanjo nyingi zilitumia miaka10-15, kugunduliwa, lakini chanjo ya ebola ilitumia kama miaka mitano tu ikapatikana toka ugonjwa uingie!!kila siku watu wanaumiza vichwa na elewa kwenye chanjo kama ni ugonjwa wa mlipuko, huwa kuna namna yake, ya hatua ya chanjo hiyo lazimie izipitie, na kuna nyingine sio lazima.
Chanjo ya kampuni ya johnson&johnson ni chanjo moja tu, mtu harudii na ni kutokana na ufanisi wake, lakini hizo nyingine , lazima urudie kutokana na ufanisi wake, kuwa sio wa kiwango cha juu sana!!na kwenye chanjo ni vitu vya kawaida tu!sasa kumbe hata mambo madogo tu hayo hujui, HIYO TOGWA YENU UNAKUNYWA DOSE NGAPI?
 
Hahaaaa!!misaada ya kuendesha nchi mabest zake lisu ndio mnawategemea, mikopo karibia asilimia 80 ni wao!!hao warusi na wachina wanakuwa wapi?!!ni suala la muda tu, maji lazima myaite mmaa!!eti vita ya kiuchumi nani awe na vita vya kiuchumi na nchi ambayo hadi vyoo tu vya shule ni msaada?!!eti omba omba anampiga mkwala tajiri!!
Na tumewapapasa mabest zake Lisu wamefanya nini? Makeyboard warrior mnafurahisha sana .........bado mitano tena
 
Back
Top Bottom