I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,731
- 10,033
South korea
Sisi bado sana....hata A ya 75 ni mzigo
View attachment 1808217
Dah! Mwanangu hii Mologolo kaitamka kama wenyeji kabisa wa kasoro bahari, ila sasa hii Mujumbula hii mwanangu alimaanisha nini wajameni, hata kama ni Bujumbura ndio iko Uganda jamaSisi bado sana....hata A ya 75 ni mzigo
View attachment 1808217
Na huyo ni mtoto wa secondary, hapo hajui hata kuandika....ila inatakiwa afundishwe,afundishike na afaulu.Dah! Mwanangu hii Mologolo kaitamka kama wenyeji kabisa wa kasoro bahari, ila sasa hii Mujumbula hii mwanangu alimaanisha nini wajameni, hata kama ni Bujumbura ndio iko Uganda jama
Hii class ngapi ndugu?Sisi bado sana....hata A ya 75 ni mzigo
View attachment 1808217
Form one huyo, amefaulu akachaguliwa kujiunga secondaryHii class ngapi ndugu?
Mungu alishawabarikigi waalimu wala msiwe na shaka. Hasa hasa waalimu wa Tanzania. Thawabu zenu mtazikuta mbinguni kwa huku duniani potezeeni tu. Madubwasha kama CWT yanawaangalieni tuNa huyo ni mtoto wa secondary, hapo hajui hata kuandika....ila inatakiwa afundishwe,afundishike na afaulu.
Mungu atutie nguvu tu.
Walimu hucheka sana wakati wakisahihisha mitihaniSisi bado sana....hata A ya 75 ni mzigo
View attachment 1808217
Poleni walimu, hapo mnatakiwa muwe na uwezo wa kufundisha masomo yoote. Ndugai Mungu amsaidieNa huyo ni mtoto wa secondary, hapo hajui hata kuandika....ila inatakiwa afundishwe,afundishike na afaulu.
Mungu atutie nguvu tu.
Amen....Mungu alishawabarikigi waalimu wala msiwe na shaka. Hasa hasa waalimu wa Tanzania. Thawabu zenu mtazikuta mbinguni kwa huku duniani potezeeni tu. Madubwasha kama CWT yanawaangalieni tu
Uongo tu huu hakuna grading system ya aina hii dunianiSouth korea
View attachment 1808180
Poleni walimu, hapo mnatakiwa muwe na uwezo wa kufundisha masomo yoote. Ndugai Mungu amsaidie
Unacheka tu ila kiuhalisia inasikitisha sana...Walimu hucheka sana wakati wakisahihisha mitihani
Polee sana Mwalimu.Na huyo ni mtoto wa secondary, hapo hajui hata kuandika....ila inatakiwa afundishwe,afundishike na afaulu.
Mungu atutie nguvu tu.
Ila shida kubwa ya waalimu wa Tanzania hamna umoja! Kataeni au kubalini. Mkipanga ka kitu kenu mnataka kufanya kwa ajili ya manufaa yenu unashangaa kesho yake kabla hakujakucha mmeshagawanyika vipande vipande na hata usiowategemea unaona wanavyonyumbulika kumtetea mtesi. Hii huwa inakatisha tamaa sana sisi wabeba zege tunaowaombea kwenye sala zetu kila siku.Na huyo ni mtoto wa secondary, hapo hajui hata kuandika....ila inatakiwa afundishwe,afundishike na afaulu.
Mungu atutie nguvu tu.
Si ajabu hizo ni marks za watoto wa Chekechea! Au mitihani hiyo hata asiyejua kusoma na kuandika anapata hizo alama! Kifupi ufaulu wa ntihani wa karatasi peke yake siyo measure ya intelligence; Ukisoma Curriculum ya Finland hata kwenye Google ndiyo utajua wanavyowapima wanafunzi, na ni moja ya nchi zenye elimu bora kabisa duniani!South korea
View attachment 1808180
Ahsante nishapoa.Polee sana Mwalimu.
Tatizo ni waalimu au msingi wa elimu au wanafunzi?Unacheka tu ila kiuhalisia inasikitisha sana...