Boss la DP World JF-Expert Member Dec 12, 2021 1,997 7,551 Jul 7, 2023 #2 Kwahiyo mnataka kusema Kikwete na Samia wamekosea kuniuzia bandari zenu? Acheni wivu basi.
ChoiceVariable JF-Expert Member May 23, 2017 43,076 49,774 Jul 7, 2023 #4 Muuza Kangala said: View attachment 2680911 Click to expand... Kwani wewe ukiandamana Kuna tatizo? Yaani Mimi niandamane Ili wewe uendelee kula vinono vya Bandari,Sina upumbavu huo
Muuza Kangala said: View attachment 2680911 Click to expand... Kwani wewe ukiandamana Kuna tatizo? Yaani Mimi niandamane Ili wewe uendelee kula vinono vya Bandari,Sina upumbavu huo