Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Hawa jamaa sasa wamekomaa kisiasa. Maana juu ya sakata la Bandari na mkataba tata wamekomaa.
Huko nyuma walitaka kuleta siasa za kisanii wakadhani hayati Magufuli anapenda janjajanja. Alipowatosa wakaanza kuwa pingapinga.
Wananchi wakadharau na kuwaona wapigaji tu. Ila sasa baada ya kubanwa na hayati Magufuli wametambua umuhimu wa kupinga ufisadi na hii imewakomaza kisiasa.
Sakata la Bandari na mkataba tata limewarejeshea heshima, japokuwa kiduchu.
Huko nyuma walitaka kuleta siasa za kisanii wakadhani hayati Magufuli anapenda janjajanja. Alipowatosa wakaanza kuwa pingapinga.
Wananchi wakadharau na kuwaona wapigaji tu. Ila sasa baada ya kubanwa na hayati Magufuli wametambua umuhimu wa kupinga ufisadi na hii imewakomaza kisiasa.
Sakata la Bandari na mkataba tata limewarejeshea heshima, japokuwa kiduchu.