Wenzangu mnawezaje kuacha?

Yaani mkuu acha tu yaani hata kitu kidogo tu anaridhika huyu dada ila kumuoa akkili hainipi kabisa nimempata mdada mzuri sana na nampenda mno huyu ndio mke wangu mtarajiwa
Na huyo mzuri atakuja kukupiga kazi hutaamini kama ni yeyeeee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!!! Mchawi ni muda tu
 
Hakuna kazi nyepesi kama kuishi na mtu anayekupenda sana yaan ukimfanyia kitu kidogo tu anafurahi na kuridhika,
Oeni wanaowapenda siyo mnaowapenda. Mkifanikiwa kubwagana namuomba huyo Emmy
Na ndiye mtu ambaye atakuvumilia on your darkest days sababu amefungamana na wewe kwa upendo sio maslahi binafsi 😎
 
Siku atakayomkuta anachilwa ndani ya nyumba na kitanda wanacholalia pamoja atajifunza kitu kuhusu wanawake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tumuache kwanza ulimwengu umfunze
 
Mbaya zaidi Emmy aolewe na boss wake mpya 🀣🀣🀣
 
Alitakiwa amuweke wazi tangu mwanzo kuwa hakuna malengo, Aliona kabisa jinsi dada wa watu alivyokuwa anaendelea kuzama penzini kakaa kimya tu. Not fair
Mwamba kafeli sana, esp. hapo aliposema emmy hana kasoro yyt.

Huyu itakuwa kavutiwa na mdada wa mjini huyo anaejua kupiga pamba na makeups kisa ana chench za kupiga taizi...nahisi Emmy yupo natural zaidi mshamba kwa mbali. Ila wanawake design ya Emmy ndio wa kuoa.
 
Malipo ni hapa hapa duniani we muache
 
Hapana mkuu hawezi fanya hivyo ananipenda sana
🀣siku utayojiachia kwake ndio utajua hujui! Hamna kitu kibaya kama mwanamke mpya ajue unaachana na KE kwa ajili ya kuwa nae ikibidi kumuoa.

The same to ataekuwa ex wako laana yake lazma ikurudi in case
 
Joanah ni bora unisaidie maneno yako na wewe yanazidi kuniumiza na kujiona mkosaji ukweli ni kwamba huyu dada sikuwa na mipango ya kumuoa toka tunaanza mahusiano ila huwezi mueleza mtu jambo kama hilo
Sio huwezi kumueleza mtu jambo hilo,,hebu jiulize je ww unapenda mtu acheze na hisia zako?!! Ifikie hatua watu waache tabia ya kutumiana na ukubali ukatae ww ulikuwa unamtumia mwenzako kama chombo cha starehe pale utakapojiskia. Na kama hatokusamehe unaingia ndoani huku ukijua kuna mtu ana jutio la maisha kukuhusu
Huo ni ushetani ndio uliofanya wala usijitetee
 
Kuna jamaa mmoja alifanya unachotaka kukifanya,akaja kuzaa watoto wote vilema. Japo kilema si ugonjwa ila watu husema kua ni laana ya yule manzi aliemfuja na kumpiga chini bila sababu,kisa kapata kifaa kipya.
 
Kwan wale mnaonunuaga hua mnawapenda?
 
Sidhani kama amekuelewa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…