wenyeji wa Tanga mpo...?

Nenda Regal Naivera, au NYinda Annex, huduma bomba vyumba safi security juu parking swafi... ila usijaribu mkonge, hali si poa sana

a budget of 30-50k inakutosha kwa siku

...sawasawa mkuu,

Nyinda Annex ndipo hapo Next Level anapopasifia kwa kelele za Bar, Regal Naivera nayo naiweka kwa Diary, mnitaifanyia uchunguzi...

Dah, Mkonge Hotel inakandiwa namna hii? Imekuwaje jamani huko Tanga na wamiliki wake?!...
 
Wakuu,
Kwa waliofika Tanga miaka sita nyuma watakuwa wanajua Hoteli za Panori na Mkonge tu. Sasa hivi zimeongezeka zingine zenye hadhi sawia kama vile NYINDA CLASSIC iko mitaa tulivu ya Raskazone, REGAL NAIVERA iko mitaa ya Bombo ni patulivu na rate zao ni kama 40,000/= a day. Kuna zingine cheap kidogo lakini mandhari nzuri na utulivu pia, ni NYINDA EXECUTIVE, WARIDI na RED SEA. Hizi zipo maeneo ya chuda. Karibu mdau.

...naaam naaaam,

Inaonekana huyo muwekezaji (NYINDA) ana hoteli mbali mbali, mwanzoni nilimjudge kama nilivyoambiwa Bar mbele ya hoteli ni kelele tupu,...Kumbe kuna Annexe, Classic na Executive!!!

Nini recommendation yako, wapi panafaa ugeni mzito (watu wenye heshima zao)?...nisije kuaibika kupafagilia sehemu nisioijua!
 
Duuh, sikujua Mkonge pamechakaa hivyo,...halafu ndio number one hotel mjini Tanga, wahudumu wachafu mno? duuuh! sitii mguu huko!

Mkuu kilichoniudhi zaidi ile bei yao, haiendani na huduma zao kabisa mkuu! Ila kama wakirekebisha hilo mambo mswano sana pale...hasa madhari yake!

Nimewapigia Panori muda mchache uliopita baada ya kuiperuzi na kuidadisi website yao, wameniambia Rooms zao wana charge 42,000/= (umesema 40,000/= ?) ha ha haa... Bongo kwa chajuu!
Ha!ha!ha!ha!.....ukiongea vizuri inashuka may be....but tayari wiki mbili zimepita tangia niende huko....anything is expected ...kama ZIM hivi...inflation 3,000,000% ha!ha!ha!

Ngoja niifanyie utafiti hiyo Dolphin Hotel pia, hawana website hawa wala mwenye contacts zao?
Kuna mtu namfahamu ana contacts zao... ndoja nikutafutie...ooh au takuchekia kny marisiti....then takuPM mkuu!

...hao Ze City hotel wanafaa kutembelewa kjupata hiyo nyama choma na pweza uliosifia kwa nguvu yote
Sio jokes Mbu.....mwenyewe nimepata ile Supu pale, na kuchoma nyama ya mbuzi na kuku...aisee..don't miss pale mahala...ofcourse asubuhi kapate rost maini....ha!ha!ha!..siwawezi wale jamaa....labda wabadilike!
 
...naaam naaaam,

Inaonekana huyo muwekezaji (NYINDA) ana hoteli mbali mbali, mwanzoni nilimjudge kama nilivyoambiwa Bar mbele ya hoteli ni kelele tupu,...Kumbe kuna Annexe, Classic na Executive!!!

Nini recommendation yako, wapi panafaa ugeni mzito (watu wenye heshima zao)?...nisije kuaibika kupafagilia sehemu nisioijua!

Mbu, NYINDA ninayo ifahamu mimi ipo moja na ipo karibu sana na DOLPHIN Hotel....! pembeni ya hiyo Nyinda kuna bar huyo huyo jamaa (the same owner)! uzuri wa hii hotel ni tu rooms ziko nzuri sana, mpka kuna vi min bar kny vyumba vyao.....hapa ninapopafahamu kelele nyingi sana mkuu!

BWT: Kama wageni wako ni WAZUNGUs fulani .....wapeleke tu Mkonge, vitu tunavyomind si wengine vinaweza kuwa si issue kubwa kwao, na ofcoz pale nikuta na wenzao kibao...pengine wao wanahudumiwa vizuri zaidi...si unajua si waswahili....?
 
Mbu, NYINDA ninayo ifahamu mimi ipo moja na ipo karibu sana na DOLPHIN Hotel....! pembeni ya hiyo Nyinda kuna bar huyo huyo jamaa (the same owner)! uzuri wa hii hotel ni tu rooms ziko nzuri sana, mpka kuna vi min bar kny vyumba vyao.....hapa ninapopafahamu kelele nyingi sana mkuu!

BWT: Kama wageni wako ni WAZUNGUs fulani .....wapeleke tu Mkonge, vitu tunavyomind si wengine vinaweza kuwa si issue kubwa kwao, na ofcoz pale nikuta na wenzao kibao...pengine wao wanahudumiwa vizuri zaidi...si unajua si waswahili....?


Exactly mkuu NL, mkonge nilikuwepo mwaka 2006 sasa walipoitaja hapa nikasita kuikandia nikidhani huenda wamebadilika, lakini wapi...bado kumbe wana ile mentality ya mashirika ya Umma..so hawapo kibiashara hata kama 'imebinafsihwa'.

Dolphin kweli parking ndogo lakini ni nadra ukose parking pale unless una lori, lakini nadhani parking ipo, kuhusu vyumba ni sawa kabisa ulivosema,,

hizo nyinda zipo nyingi na the same area lakini pia kuna nyingine zipo maeneo hayo hayo so ukikosa sehemu moja ni rahisi kucheki nyingine hata kwa miguu.

Mkuu NL yale mambo mengine vipi ukiacha malazi? ukarimu wa wenyeji (au mkuu Mbu amefunga)
 
Mbu, NYINDA ninayo ifahamu mimi ipo moja na ipo karibu sana na DOLPHIN Hotel....! pembeni ya hiyo Nyinda kuna bar huyo huyo jamaa (the same owner)! uzuri wa hii hotel ni tu rooms ziko nzuri sana, mpka kuna vi min bar kny vyumba vyao.....hapa ninapopafahamu kelele nyingi sana mkuu!

BWT: Kama wageni wako ni WAZUNGUs fulani .....wapeleke tu Mkonge, vitu tunavyomind si wengine vinaweza kuwa si issue kubwa kwao, na ofcoz pale nikuta na wenzao kibao...pengine wao wanahudumiwa vizuri zaidi...si unajua si waswahili....?

NL, kuna nyinda nyingine mpya [executive] ni nzuri... ila muwe makini sana na Tanga, wanawake wa Tanga ni wezi kuliko sehemu yoyote Tz; majamaa ya workshop mengi yanakoma aisee
 
Exactly mkuu NL, mkonge nilikuwepo mwaka 2006 sasa walipoitaja hapa nikasita kuikandia nikidhani huenda wamebadilika, lakini wapi...bado kumbe wana ile mentality ya mashirika ya Umma..so hawapo kibiashara hata kama 'imebinafsihwa'.

Kaizer mi nimelala pale just one day wiki mbili tu zimepita, na nikuwa kny room ya 70k......huduma mbovu kweli, wahudumu wachafu acha kabisa....yes, hawapo kibiashara kabisa!

Dolphin kweli parking ndogo lakini ni nadra ukose parking pale unless una lori, lakini nadhani parking ipo, kuhusu vyumba ni sawa kabisa ulivosema,,
Agreed kabisa....pale pana rooms bomba kweli, yes ukikosa parking pale kwny hotel yenye ghorofa, pembeni ipo hotel yao ya kawaida na parking unapata pale!

hizo nyinda zipo nyingi na the same area lakini pia kuna nyingine zipo maeneo hayo hayo so ukikosa sehemu moja ni rahisi kucheki nyingine hata kwa miguu. Naifahamu ile karibu na Nyinda tu mkuu......!
Mkuu NL yale mambo mengine vipi ukiacha malazi? ukarimu wa wenyeji (au mkuu Mbu amefunga
Ha!ha!ha! Ndo maana nikamwambia mkuu Mbu kama anapenda kujirusha ASIKOSE pale LA CASA au Chichi baada ya kupata supu ya Pweza pale ZE City..ha!ha!ha!ha!
 
Ipo hotel nyingine INN BY THE SEA, ni nzuri tu ipo baharini,waweza jaribu pia na hiyo mbu!
 
...:D:D:D Bao3 kiswahili chako kimeniacha feri mkuu, mishikaki mikubwa ndio kitu gani tena yarabi....ha ha haa

Kuna jamaa alitaka kujua sehemu nzuri ya kula yeye na wakwe zake (wageni), jamaa si akampeleka Jolly Club bana? ...ilikuwa kizaa zaa usiku huo...!


Hiyo Panori ni tofauti na Panora iliyotajwa hapa?

Kakosea spelling huyo. Hakuna Panora hotel Tanga inaitwa PANORI. I have been there thrice, pametulia sana. Pia hapo kiboko hotel pametulia na feature special niliyoona ni ile mishkaki yao jinsi wanavyoichoma kwa umahiri. Nshakula, nshalala pale pia.
 
Mbu, NYINDA ninayo ifahamu mimi ipo moja na ipo karibu sana na DOLPHIN Hotel....! pembeni ya hiyo Nyinda kuna bar huyo huyo jamaa (the same owner)! uzuri wa hii hotel ni tu rooms ziko nzuri sana, mpka kuna vi min bar kny vyumba vyao.....hapa ninapopafahamu kelele nyingi sana mkuu!

BWT: Kama wageni wako ni WAZUNGUs fulani .....wapeleke tu Mkonge, vitu tunavyomind si wengine vinaweza kuwa si issue kubwa kwao, na ofcoz pale nikuta na wenzao kibao...pengine wao wanahudumiwa vizuri zaidi...si unajua si waswahili....?


Thanks Mkuu, hiyo Nyinda unayoisema its more of a guest house na pembeni wana sehemu ya tropper nzuri sana... lakini ile nyingine ni bomba zaidi
 
Mkuu Mbu ha!ha1ha!ha! Nilikuwa Tanga juzi juzi mwishoni mwezi wa nane! naweza kukwambia haya!

Mkonge Hotel......ina madhari nzuri sana, iko baharini, ina viunga vikubwa sana vya kupumzikia, ina vyumba vikubwa sana, ina AC nzuri, bacon poa kabisa ina vyumba vya sea facing na vya kawaida, pia wapo na parking kubwa sana!

Mimi nililala pale siku moja tena was room #223 Sea viewing one! Matatizo niliyoyaexperience mimi ni haya:

1. Wana wahudumu wachafu sana (kwa kila kitu hapa)

2. Wanahuduma mbovu sana (customer care), mfano nilikuta toilet chafu, mashuka ni quite old, vikorombwezo like remote controls za TV, AC ni matatizo....nilitaka nicheki game nikashindwa mbali ya kuomba wanisaidie kama mara mbili hivi
3. Wana gharama sana (kulinganisha na huduma) see viewing rooms ni Tshs 70,000 wakati vya kawaida ni Tshs 65,000

4. Wanaopenda kujirusha, viwanja pale karibu hakuna yaani pamejitenga sana mkuu!

5. Vyumbani hakuna the So called MIN BAR....kwa wale wenzangu...!

Siku ya pili nikahamia DOLPHIN hotel

Hawa wako na rooms nzuri sana za aina na bei tofauti;

Zipo za Tshs 50,000 .....zina AC, Simu, breakfast, big room, maji ya moto (if you like), huduma nzuri na wahudumu kidogo wanazingatia usafi binafsi na wako na sare nzuri sana!

Zipo pia 25,000 (min) na 30,000....huku quality ya rooms inapungua kiasi!

Hawa pia wako mjini ambapo ni karibu na viwanja vingi vya kujirusha, like Nyinda bar (pana rost ya maini na nyama choma acha kabisa) Club la Casa, Chichi Club, Ze City Hotel (Hapa mzee pana supu ya pweza acha kabisa)etc!

Tatizo la Dolphin ni parking sio kubwa sana!

Nyinda wana rooms nzuri sana na bei yao ni Tshs 25,000.....! sema hawa pale kwao nje kuna bara ambayo ni very popular na hujaa sana wateja so kelelee!

Panori .....unaweza kugoogle kuna agent wao anawatangaza kwenye net.....ila hawana jipya huduma zao room ni Tshs 40,000, no simu lakini breakfast...ukitaka piga simu hii...027 2646044 (ni ya Hotel hii) watakwambia what they can offer!

Mbu kama mwenyewe unaenda Tanga na hupenda kujirusha, pitia pale Club la Casa (ni night club), is very nice place kwa wanaopenda kujirusha mkuu!

Kama unapenda nyama choma...ha!ha!ha! nenda pale Ze City Hotel.....mwisho wa matatizo, kuna Mchaga mmoja pale anachoma Kuku, mbuzi, ng'ombe sijawahi ona aisee! Please usisahau...pale kuna SUPU ya pweza sio kama ile inauzwa dar barabarani no iko kny very good quality!

Kama ni mpenzi wa Samaki usisahau kutembelea kule Deep sea wenyewe wanakuita....acha kabisa!

Need wa say more mkuu!

Kweli wewe unazo habari za motomoto. Hivi Chichi siku hizi kumekua kizuri nako? Nina siku nyingi nipo humu magomeni sijafika huko aisee. Umenitamanisha sana samaki aina ya changu pale ulipotaja deep sea. Kesho naja huko kwa raha leo mkuu. Tukutane nyinda,agiza mguu wa mbuzi na ndizi.
 
...Mkuu NL yale mambo mengine vipi ukiacha malazi? ukarimu wa wenyeji (au mkuu Mbu amefunga)

...ha ha ha, naaam swaumu imepanda hapa kama kwao,...bado masaa mawili na ushee hapa nile mahanjumati!...

NL, kuna nyinda nyingine mpya [executive] ni nzuri... ila muwe makini sana na Tanga, wanawake wa Tanga ni wezi kuliko sehemu yoyote Tz; majamaa ya workshop mengi yanakoma aisee

...ebanaa weeeh, kumbe ni kweli Tanga nyumbani kwa mijizi? nimeifuma hii sasa hivi mahala fulani mama wa kizungu analalama
Tanga what a story to this area where most criminal come from. On the way back at 01.00 h at night we got chased by the police and almost got shot by them. but at the end so funy.. muzungu lady driving at night.. they are not used to a women driving at midnight....
...inabidi kwenda na risasi za ziada huko...! :)

Ipo hotel nyingine INN BY THE SEA, ni nzuri tu ipo baharini,waweza jaribu pia na hiyo mbu!

...Omumura, ubarikiwe sana. So far so good, responce za wadau zinatia matumaini kwamba kumbe kuna chaguo la kutosha zaidi ya Mkonge Hotel kwenye wahudumu wachafu!...

Next Level, ushauri wako nauzingatia kwa makini, umenifumbua macho sana kuhusu mji huo,...

Kaizer, huu mwezi wa toba yakhe! sijui hata kama Mw'mungu amenisamehe wewe unataka nianze kufikiria kujiexpress upya, ha ha haa....
 
...wadau,

kama kuna mwenyeji/mtu mwenye uelewa wa tanga mjini, naomba anijuze sehemu nzuri na salama (kwa malazi) ambapo wageni wangu wanaweza kufikia.

Itafaa iwapo hiyo sehemu itakuwa na mgahawa (i.e bed & breakfast), parking, vyumba vyenye feni/ac, tv nk...

Bajeti; ....'tuanzie' chumba cha 35,000/= kwa usiku mmoja kupanda juu...


mkuu ungemalizia kabisa swali letu kwa kuwaulizia ""jolly club ""ya tanga ipo wapi kwani hata mimi nategemea kufika huko mwezi ujao...ni juzeni wakuu..!!
 
mkuu ungemalizia kabisa swali letu kwa kuwaulizia ""jolly club ""ya tanga ipo wapi kwani hata mimi nategemea kufika huko mwezi ujao...ni juzeni wakuu..!!

...ha ha ha...

Next Level amesema; "Mbu kama mwenyewe unaenda Tanga na hupenda kujirusha, pitia pale Club la Casa (ni night club), is very nice place kwa wanaopenda kujirusha mkuu!"

....,au kwa taarifa zaidi muume sikio (mtumie PM) Kaizer, yeye mbado kuuona mwezi! :)
 
mkuu ungemalizia kabisa swali letu kwa kuwaulizia ""jolly club ""ya tanga ipo wapi kwani hata mimi nategemea kufika huko mwezi ujao...ni juzeni wakuu..!!

Ni opposite na posta pale. Au wenyewe wanapaita Independence Avenue. Unapanda pale ghorofa ya kwanza tu mzee. Kwanza mida ikishafika wewe nenda pale posta macho yatafuatilia yenyewe automatically maana utaona pilika za watu kuelekea club hapo. Au nenda zako coffee bar katulie. Ikifika tano na nusu hivi nenda moja kwa moja, pale four ways vuka fuata bara bara moja kwa moja kuelekea posta. Tena kuna members wengi sana hua wanaongozana kutoka coffee. Na mambo fulani ni jirani kabisa pale,mitaa ya Makundi.
 
Kweli wewe unazo habari za motomoto. Hivi Chichi siku hizi kumekua kizuri nako? Nina siku nyingi nipo humu magomeni sijafika huko aisee. Umenitamanisha sana samaki aina ya changu pale ulipotaja deep sea. Kesho naja huko kwa raha leo mkuu. Tukutane nyinda,agiza mguu wa mbuzi na ndizi.

Ha!ha!ha!ha!ha!....mkuu Bao3......Pale Chichi pamepoza kidogo...halafu watch out ......kuna wale waheshimiwa wa ''MOMBASA'' acha kabisa unaweza uziwa mbuzi kny gunia usijue kabisa.....!

Deep Sea achana nako kabisa, ukitaka shuka kabisa baharini huko utakutana na the likes of Tasi, changu, kibuas etc....raha tupu kule!

mkuu ungemalizia kabisa swali letu kwa kuwaulizia ""jolly club ""ya tanga ipo wapi kwani hata mimi nategemea kufika huko mwezi ujao...ni juzeni wakuu..!!

Mkuu, Club La Casa....Chichi...mwisho wa yote ..ha!ha!ha!

...ha ha ha...

Next Level amesema; "Mbu kama mwenyewe unaenda Tanga na hupenda kujirusha, pitia pale Club la Casa (ni night club), is very nice place kwa wanaopenda kujirusha mkuu!"

....,au kwa taarifa zaidi muume sikio (mtumie PM) Kaizer, yeye mbado kuuona mwezi! :)

Naaaaaaam....yakhee naona umenipata vilivyo......but watch out Tanga kuna ''BWABWA'' sana....usinunue mbuzi kwenye gunia...ha!ha!ha!
 
Ni opposite na posta pale. Au wenyewe wanapaita Independence Avenue. Unapanda pale ghorofa ya kwanza tu mzee. Kwanza mida ikishafika wewe nenda pale posta macho yatafuatilia yenyewe automatically maana utaona pilika za watu kuelekea club hapo. Au nenda zako coffee bar katulie. Ikifika tano na nusu hivi nenda moja kwa moja, pale four ways vuka fuata bara bara moja kwa moja kuelekea posta. Tena kuna members wengi sana hua wanaongozana kutoka coffee. Na mambo fulani ni jirani kabisa pale,mitaa ya Makundi.

...ha ha ha...kama mbuzi vile wakielekea machinjioni! duuuh,

itabidi nikachungulie hiyo mitaa ya posta, lakini nitahakikisha najifunga na kamba kwenye nguzo ya stima nisiwafuate!
 
...mmmm, kweli Tanga nimetoka muda mrefu! whatever happened to my favorite staying place in the early 90 'Inn by the Sea' mitaa ya huko huko Mkonge Hotel, ama ipo ila ndio mambo ya kubadilisha jezi mchezaji yule yule?? Na Tanga Hotel je? Na zile hoteli za yule mjasiriamali aliyepata kuwika sana pale Tanga, Marupa, moja ilikuwa pale keepleft cha Chumbageni Police??
 
...mmmm, kweli Tanga nimetoka muda mrefu! whatever happened to my favorite staying place in the early 90 'Inn by the Sea' mitaa ya huko huko Mkonge Hotel, ama ipo ila ndio mambo ya kubadilisha jezi mchezaji yule yule?? Na Tanga Hotel je? Na zile hoteli za yule mjasiriamali aliyepata kuwika sana pale Tanga, Marupa, moja ilikuwa pale keepleft cha Chumbageni Police??

Ha!Ha!Ha!ha!ha!ha!....hapo Tanga hotel.....ni maarufu kwa vikao vya harusi, send off, ''chicken'' party etc! ....na ofcourse weekend kuna live band pale ndani......but si pazuri kwa kulala ati!
 
Back
Top Bottom