Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
- Thread starter
- #21
Nenda Regal Naivera, au NYinda Annex, huduma bomba vyumba safi security juu parking swafi... ila usijaribu mkonge, hali si poa sana
a budget of 30-50k inakutosha kwa siku
...sawasawa mkuu,
Nyinda Annex ndipo hapo Next Level anapopasifia kwa kelele za Bar, Regal Naivera nayo naiweka kwa Diary, mnitaifanyia uchunguzi...
Dah, Mkonge Hotel inakandiwa namna hii? Imekuwaje jamani huko Tanga na wamiliki wake?!...