Wenyeji wa Moshi mjini

Wenyeji wa Moshi mjini

Hivi akija dogo wa miaka 20 wakati wewe upo 43 itakuwaje??..mambo yataflow kama kawa??

Muda mwingine muwe specific..unataka wa

√Jinsia gani??

√Umri gani??

√Personality gani??
 
Hahahahah wasi wasi wako tu Mkuu. Sasa ningekuzunguka Sangapi wakati ungekuwepo muda wote?
Mkuu ukikubali kugharamiwa wewe na demu wako kwa gharama za mshkaji na demu anaona basi uwezekano mkubwa wa demu wako kuliwa na huyo mshkaji upo...any way cku ukiwa na ziara mkoa wa mbeya nishtue ila nitakuja mimi peke yangu or na washkaji tu
 
Mkuu ukikubali kugharamiwa wewe na demu wako kwa gharama za mshkaji na demu anaona basi uwezekano mkubwa wa demu wako kuliwa na huyo mshkaji upo...any way cku ukiwa na ziara mkoa wa mbeya nishtue ila nitakuja mimi peke yangu or na washkaji tu
Poa poa mkuu.
 
Back
Top Bottom