Wenyeji wa Moshi mjini

Wenyeji wa Moshi mjini

joshydama

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2016
Posts
4,623
Reaction score
5,052
Habari zenu wakuu? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Leo nipo Moshi mjini hapa toka Dar es salaam.Hivyo naomba kama kuna mtu yupo karibu aje hapa Qwine Pub tupeane kampani. Qwine pub ipo opposite na filling Station ya PANONE.

Karibuni sana na ahsanteni sana.
 
Habari zenu wakuu? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Leo nipo Moshi mjini hapa toka Dar es salaam.Hivyo naomba kama kuna mtu yupo karibu aje hapa Qwine Pub tupeane kampani. Qwine pub ipo opposite na filling Station ya PANONE.

Karibuni sana na ahsanteni sana.
Pametulia Sana Hapo.
 
Habari zenu wakuu? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Leo nipo Moshi mjini hapa toka Dar es salaam.Hivyo naomba kama kuna mtu yupo karibu aje hapa Qwine Pub tupeane kampani. Qwine pub ipo opposite na filling Station ya PANONE.

Karibuni sana na ahsanteni sana.
umri wako ? ,maana tusijekuja afu tukute una umri sawa na baba zetu
 
Jamaa Uliposema Aje Na Shemeji
Akaona Kama Unataka Kupiga Mipira Ya Ulaya Inazunguuka Kama Inatoka, Mara Ghafla Goal
Haa [emoji23][emoji16][emoji3] Vita Ni Mbinu
Hahahahah. Sina shida na demu wake but nataka kampani iwe kubwa.

Si unajua sisi vijana ili tubadilishane mawazo Mkuu
 
Huku Moshi mbona sioni wanawake?Bora nirudi zangu Dar. Yaani unakutana na midume mwanzo mwisho. Watoto wazuri hakuna.
 
Habari zenu wakuu? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Leo nipo Moshi mjini hapa toka Dar es salaam.Hivyo naomba kama kuna mtu yupo karibu aje hapa Qwine Pub tupeane kampani. Qwine pub ipo opposite na filling Station ya PANONE.

Karibuni sana na ahsanteni sana.
Nakuja baba la baba
 
Back
Top Bottom