Wenyeji wa KATA ya Kinampnda!
Kuna shule huko nyumbani inaitwa Kinampanda SSekondari inatchafua jina letu,
Ni hizi shule zilizoanzishwa na Mkwere bila maandalizi!Hata iwe vipi wengi watoto wetu na wadogo zetu wanasoma pale .Kama mkakati wa kuondoa umaskini Kinampanda hatuna budi kuisadia shule hii kwa hali na mali.Tukikutana tuweke mkakati wa kuiganya iwe ST kinampnda...Nawasilsiha wazo hili...tafadhali mpe taarifa na mwenzako ,tukajenge kizazi cha kuing'oa CCM!
Kuna shule huko nyumbani inaitwa Kinampanda SSekondari inatchafua jina letu,
Ni hizi shule zilizoanzishwa na Mkwere bila maandalizi!Hata iwe vipi wengi watoto wetu na wadogo zetu wanasoma pale .Kama mkakati wa kuondoa umaskini Kinampanda hatuna budi kuisadia shule hii kwa hali na mali.Tukikutana tuweke mkakati wa kuiganya iwe ST kinampnda...Nawasilsiha wazo hili...tafadhali mpe taarifa na mwenzako ,tukajenge kizazi cha kuing'oa CCM!