Wenye watoto wa kike tu

Wenye watoto wa kike tu

labda momeolewa mitaa ya jirani😁
Hapana, aliweka bond kwa wajukuu zake
Mfano
Kuna siku bint yangu WA 6yrs katoka nje getini anamwambia jirani nipeleke sehemu A kwa babu yangu Mzee B, jirani akaanza kum challenge kuwa utapotea anamwambia hapana wewe nipeleke Tu sehemu A halafu Mimi ntafika kwa babu yangu
Hapo ni umbali wakupanda gari nauli ya daladala 800

Yote hii kwasababu hajaenda kwa babu 2 weeks

Kuna namna naonaga anafurahia Sana wajukuu zake
 
Japo Kuna wengine wanamshambulia mtoa mada ila kama baba Kuna kipindi utajiuliza "future" ya watoto wako.
Kwa Dunia ya zamani tuliwaza sana kuhusu watoto wa kike hadi wengine wakawa wanakata tamaa hawawasomeshi
Kwa Dunia ya sasa kama baba unaejitambua licha ya malezi unayowapa lakini Kuna viwazo vitakujia TU kuhusu "future" ya watoto bila kujali jinsia kwa sababu ya majanga yaliyopo kwenye Dunia Yao.
Inachotakiwa ni wewe baba simama katika nafasi Yako huku pia ukiomba ulinzi wa Mungu juu yao
 
Hakuna watu nawacheka kimoyomoyo kama washkaji wenye watoto wakike tupu.

Mimi mkewangu alipo jifungua mtoto wangu wapili ambae ni binti nililia sana niliwaza akija kukua itakuwaje yani nilikosa majibu nikawaza je wenye watoto wakike tupu wanajisikiaje ukizingatia mtoto wakike nidhaifu sikuzote mda wowote anapewa mimba yani shida tupu uvumilivu hawana changamoto kidogo tu wanaanza kujiuza😁

Hapa nawaza huyu wangu akifikia umri wakubarehe nitamhendo vipi asichezewešŸ˜•šŸ˜•

Mkabidhi kwa MUNGU au Allah kama wewe ni mtu wa Imani
 
Hakuna watu nawacheka kimoyomoyo kama washkaji wenye watoto wakike tupu.

Mimi mkewangu alipo jifungua mtoto wangu wapili ambae ni binti nililia sana niliwaza akija kukua itakuwaje yani nilikosa majibu nikawaza je wenye watoto wakike tupu wanajisikiaje ukizingatia mtoto wakike nidhaifu sikuzote mda wowote anapewa mimba yani shida tupu uvumilivu hawana changamoto kidogo tu wanaanza kujiuza😁

Hapa nawaza huyu wangu akifikia umri wakubarehe nitamhendo vipi asichezewešŸ˜•šŸ˜•
Yote haya ni matatizo ya kujitakia katika jamii. Kwa kiasi kikubwa ni ujinga, na umasikini, ambao katika kiwango chake kikubwa kabisa hata umasiki i ni ujinga tu. Umasikini wa mawazo.

Ndiyo maana wazazi wa Finland, Sweden na Norway, wameshapita level ya matatizo haya.
 
Hakuna watu nawacheka kimoyomoyo kama washkaji wenye watoto wakike tupu.

Mimi mkewangu alipo jifungua mtoto wangu wapili ambae ni binti nililia sana niliwaza akija kukua itakuwaje yani nilikosa majibu nikawaza je wenye watoto wakike tupu wanajisikiaje ukizingatia mtoto wakike nidhaifu sikuzote mda wowote anapewa mimba yani shida tupu uvumilivu hawana changamoto kidogo tu wanaanza kujiuza😁

Hapa nawaza huyu wangu akifikia umri wakubarehe nitamhendo vipi asichezewešŸ˜•šŸ˜•
Heri uwe na watoto wa kike hata kumi kuliko kuwa na mtoto wa kiume mmoja alafu aje kuwa shoga au teja isee maukivu yake sio ya dunia hii..
 
Hakuna watu nawacheka kimoyomoyo kama washkaji wenye watoto wakike tupu.

Mimi mkewangu alipo jifungua mtoto wangu wapili ambae ni binti nililia sana niliwaza akija kukua itakuwaje yani nilikosa majibu nikawaza je wenye watoto wakike tupu wanajisikiaje ukizingatia mtoto wakike nidhaifu sikuzote mda wowote anapewa mimba yani shida tupu uvumilivu hawana changamoto kidogo tu wanaanza kujiuza😁

Hapa nawaza huyu wangu akifikia umri wakubarehe nitamhendo vipi asichezewešŸ˜•šŸ˜•
Mkuu vipi kuhusu wimbi la mashoga wanaozidi kuongezeka? Huoni pia watoto wetu wa kiume wako kwenye hatari?
 
Yote haya ni matatizo ya kujitakia katika jamii. Kwa kiasi kikubwa ni ujinga, na umasikini, ambao katika kiwango chake kikubwa kabisa hata umasiki i ni ujinga tu. Umasikini wa mawazo.

Ndiyo maana wazazi wa Finland, Sweden na Norway, wameshapita level ya matatizo haya.
walifanyaje wakayaepuka
 
Back
Top Bottom