olmo
JF-Expert Member
- Jun 21, 2026
- 318
- 622
Yaani wewe furaha yako mtoto wako asigongwe ? elewa huyo ni kiumbe hai ana sifa ya kuzaa na bila kuvua nguo zake hawezi kuzaa! au wewe mama yako alikuzaa vipi? na huyo mkeo anapata vipi mimba? kuna point umejifichia ya kuwalea wasije kuanza mapema lakini haina nguvu sana kwa jinsi navokufikiria, yaani nafsi yako ni kima unawivu na watoto wako wa kike wasipigwe mashine, shekhe wangu huna hata uwezo wa,kuona dunia inakwendaje sasa. Hadi mitoto ya kiume inazagamuliwa uzuri tu hata ufanyeje tena tafadhari usitukane mamba hujavuka mto.Hakuna watu nawacheka kimoyomoyo kama washkaji wenye watoto wakike tupu.
Mimi mkewangu alipo jifungua mtoto wangu wapili ambae ni binti nililia sana niliwaza akija kukua itakuwaje yani nilikosa majibu nikawaza je wenye watoto wakike tupu wanajisikiaje ukizingatia mtoto wakike nidhaifu sikuzote mda wowote anapewa mimba yani shida tupu uvumilivu hawana changamoto kidogo tu wanaanza kujiuza😁
Hapa nawaza huyu wangu akifikia umri wakubarehe nitamhendo vipi asichezewe😕😕