Emmanuel_Adam14
JF-Expert Member
- Dec 25, 2015
- 670
- 744
Wana JF habari!!
Nimekaa nikawaza kuhusu harusi bila kuchangiwa hata mia labda mawazo tyuu !!
Kiwango nilichopanga ni kuwa nacho ni million 6 je itaosha kumaliza mchato mzima!!
Wenye uzoefu na kamati za harusi hapa vipi mtakaa kikao!? Au niongeze!!
Nimekaa nikawaza kuhusu harusi bila kuchangiwa hata mia labda mawazo tyuu !!
Kiwango nilichopanga ni kuwa nacho ni million 6 je itaosha kumaliza mchato mzima!!
Wenye uzoefu na kamati za harusi hapa vipi mtakaa kikao!? Au niongeze!!