Wenye mipango ya kuhama nchi tukutane hapa

Wenye mipango ya kuhama nchi tukutane hapa

Jamani Mimi katika maisha yangu nna ndoto kubwa mbili tuu nikitimiza Hizi asante mungu ndoto ya kwanza ni kuhama nchi natamani nikaishi SA,USA,AU au UK pia ndoto ya pili lazma nimiliki range Rover hata kma ya miaka ya tisini


Jamani huu ni mtazamo wangu tuuu najua MTA ni crash haina shida natamani nikaishi moja ya nchi hizo[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] bila kujari ntaishi maisha gani
Mimi nilikuwa na ndoto si tu za kuishi USA kama wewe, mimi nilikuwana ndoto kufanya kazi New York City, na mpaka mtaa niliotaka kufanya kazi niliukamia, Wall St, where money never sleep.

Na nikatimiza ndoto hiyo.

Kwa hiyo niwewe na mipango yako tu.

Zamani nakumbuka nilikuwanasikiliza taarifa za habari, kila wakitaja "New York" kuelezea habari za umoja wa Mataifa hususan, nilikuwa napaona kama mwezini hivi, dunia fulani ambayo siwezi kufika.

Siku hizi nafanya getaways na escape from New York.

Ni maisha tu.

Kuna ujinga ujinga fulani niliuona unakuja tangu kitambo.

Nikapiga kura kwa miguu yangu kuukimbia.
 
Mimi nilikuwa na ndoto si tu za kuishi USA kama wewe, mimi nilikuwana ndoto kufanya kazi New York City, na mpaka mtaa niliotaka kufanya kazi niliukamia, Wall St, where money never sleep.

Na nikatimiza ndoto hiyo.

Kwa hiyo niwewe na mipango yako tu.

Zamani nakumbuka nilikuwanasikiliza taarifa za habari, kila wakitaja "New York" kuelezea habari za umoja wa Mataifa hususan, nilikuwa napaona kama mwezini hivi, dunia fulani ambayo siwezi kufika.

Siku hizi nafanya getaways na escape from New York.

Ni maisha tu.

Kuna ujinga ujinga fulani niliuona unakuja tangu kitambo.

Nikapiga kura kwa miguu yangu kuukimbia.

Hongera sana
I hope mnafahamiana na yule dada wa kitanzania anaemanage hedge fund ya 30 billion usd hapo Wall Street
 
Hongera sana
I hope mnafahamiana na yule dada wa kitanzania anaemanage hedge fund ya 30 billion usd hapo Wall Street
Sasa hapa nikianza kusema habariza nani nafahamiana naye na nani sifahamiani naye naanza kuweka trail ya watu wasiojulikana kunifuatilia.

Hapa tu nisha ji expose vya kutosha.
 
Mm pia Mkuu, nimeshafanya majaribio kadhaa mpaka sasa, na hivi karibuni narudi tena SA
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Jamani Mimi katika maisha yangu nna ndoto kubwa mbili tuu nikitimiza Hizi asante mungu ndoto ya kwanza ni kuhama nchi natamani nikaishi SA,USA,AU au UK pia ndoto ya pili lazma nimiliki range Rover hata kma ya miaka ya tisini


Jamani huu ni mtazamo wangu tuuu najua MTA ni crash haina shida natamani nikaishi moja ya nchi hizo[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] bila kujari ntaishi maisha gani
ukifanikiwa kuihama hii nchi kwakweli usinisahau ,nakuombea ufanikiwe
 
Kaka huo ni mpango mzuri sana muombe mungu atakusaidia katika hilo,mimi nakumbuka nilikuwa na jamaa yangu nimesoma nae,tulikuwa tukiipanga safari 2012 ya kusepa,tulipita mashirika kadhaa kuulizia nauli ya ndege lakini mwenzangu alikuwa anamishe ingawa pesa ilikuwa ndogo sana.

Huwezi amini alivyokuwa ameshika kalamu na karatasi ananipa mipango kama vile tunapiga pindi nilimuona kama anafanya mzaha vile,alizipanga nchi za kwenda,lakini alisema zikifeli hizi naenda hata south afrika lakini hapa nimepachoka.

Alijitoa sadaka akaacha kazi then akalamba nssf yake ilikuwa kama milioni kadhaa hivi,alisepa nchi moja ya kiaarabu mpaka leo anafanya kazi huko,na mipango yake aende kiwanja kirefu zaidi ya hapo.

Mimi aliniacha kwa sababu changamoto kubwa mno ni nauli kazi ngumu kupatikana na ukipata unapata pesa ya kula tuu.

Ila bado ndoto ninazo katika hilo na hatua mojawapo nimepiga namshukuru mungu kitabu ninacho tayari.

Ila namkumbuka broo mmoja huwa ananiambia safari haipo mdomoni ipo moyoni...weka nia madhubuti muombe mungu,tafuta fursa uchange nauli sepaaaaa.
Ntashukuru brooo lazma nifike ingawa navunjwa moyo
 
Syo kila anae fikilia kuhama ni mvivu pengine ww uliye lizika na bongo ndyo mvivu zaidi[emoji115] [emoji115] [emoji115]
True tumechelewa sana kuzamia nje kusaka maisha,wenzetu wacongo,Kenya, Nigeria walianza kitambo sana,Maisha popote muhimu fata Sheria. Wengine umri ushafika SAA nane ngoja tusome no tu
 
True tumechelewa sana kuzamia nje kusaka maisha,wenzetu wacongo,Kenya, Nigeria walianza kitambo sana,Maisha popote muhimu fata Sheria. Wengine umri ushafika SAA nane ngoja tusome no tu
Kwangu umri nahisi bado maana ni 23 tuu
 
Nikisikiaga haya majina ha hizi sehemu au kuzi google hua natamani sana
1.cap martin
2.code de zour
3.belgium
4.monaco
Siku moja ndoto zitatimia tu
 
Back
Top Bottom