Wenye mipango ya kuhama nchi tukutane hapa

Wenye mipango ya kuhama nchi tukutane hapa

steve_shemej

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2015
Posts
1,191
Reaction score
1,630
Jamani Mimi katika maisha yangu nna ndoto kubwa mbili tuu nikitimiza Hizi asante mungu ndoto ya kwanza ni kuhama nchi natamani nikaishi SA,USA,AU au UK pia ndoto ya pili lazma nimiliki range Rover hata kma ya miaka ya tisini


Jamani huu ni mtazamo wangu tuuu najua MTA ni crash haina shida natamani nikaishi moja ya nchi hizo[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] bila kujari ntaishi maisha gani
 
Ujumbe kwa wahamiaji haramu wote...


RkCWYkkcHXEYzLYmUKiV4qb6jovVJVzORzXK8X8UNjc.jpg
defend-europe-c-star-1400x789.jpg
 
Kuhama ni kawaida kwa kila kiumbe katika ardhi hii, hata wanyama huhama na mimea pia.

Ukipata fursa maadam una nia utafanikiwa tu, jandae tu.
Na kumiliki Range wala isikutie shaka unaweza pia kwani ni ya kawaida sana hata mimi niliitamani nikaamua kumiliki velar na kuiuza tena lakini nilikamilisha ndoto yangu
Penye nia pana njia pambana mdogo wangu ipo siku utafikia malengo
 
Mimi nataka nihame huu mtaa ninaokaa nihamie Gangilonga.
 
Unga mkono juhudi za Mh, maisha yatakua poa kabisa huna haja ya kukimbia bongo badili gia tu!
 
Kuhama ni kawaida kwa kila kiumbe katika ardhi hii, hata wanyama huhama na mimea pia.

Ukipata fursa maadam una nia utafanikiwa tu, jandae tu.
Na kumiliki Range wala isikutie shaka unaweza pia kwani ni ya kawaida sana hata mimi niliitamani nikaamua kumiliki velar na kuiuza tena lakini nilikamilisha ndoto yangu
Penye nia pana njia pambana mdogo wangu ipo siku utafikia malengo
Asante broo
 
Back
Top Bottom