steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,191
- 1,630
Jamani Mimi katika maisha yangu nna ndoto kubwa mbili tuu nikitimiza Hizi asante mungu ndoto ya kwanza ni kuhama nchi natamani nikaishi SA,USA,AU au UK pia ndoto ya pili lazma nimiliki range Rover hata kma ya miaka ya tisini
Jamani huu ni mtazamo wangu tuuu najua MTA ni crash haina shida natamani nikaishi moja ya nchi hizo[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] bila kujari ntaishi maisha gani
Jamani huu ni mtazamo wangu tuuu najua MTA ni crash haina shida natamani nikaishi moja ya nchi hizo[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] bila kujari ntaishi maisha gani