steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,092
- 1,433
Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu Mimi ni fundi welding pia nna uelewa na machenics pia.
Ndoto yangu kubwa ni kwenda kuishi Afrika ya Kusini bila ya kujali ntaishi maisha gani
Changamoto yangu kubwa sina mwenyeji kule na sijui wapi nitaanzia ila natamani nitimize ndoto yangu.
NB nafahamu saivi SA uchumi umeshuka ila Mimi natamani kutimiza ndoto zangu nahitaji msaada wenu wenye uelewa na hitaji langu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoto yangu kubwa ni kwenda kuishi Afrika ya Kusini bila ya kujali ntaishi maisha gani
Changamoto yangu kubwa sina mwenyeji kule na sijui wapi nitaanzia ila natamani nitimize ndoto yangu.
NB nafahamu saivi SA uchumi umeshuka ila Mimi natamani kutimiza ndoto zangu nahitaji msaada wenu wenye uelewa na hitaji langu.
Sent using Jamii Forums mobile app