Wenje anafanya mkutano Nyamagana

Wenje anafanya mkutano Nyamagana

Kakutuma uje kumkampenia? Mods, Chukueni hela za matangazo ya kampeni.

Walumumba kama uzi haukuhus we piga chin tu mtaumia roho sana mwaka huu mkiendelea kufuatilia taarifa za makamanda! Teh teh teh mkasage vyupa!!
 
Wasukuma safari hii wameapa wanataka mzawa wa Mwanza ambaye atakaye saidiana na Dr.Magufuli.

Mapadlock sio msukuma. Mbona alikuwepo masha na Diallo . lakini hapakufanyika kitu. Also Steven kazi. Kwa taarifa yako wabunge wrote wasukuma toka ccm hawahitajiki kanda ya ziwa . anza na Kamani mlegeya.
 
huo umani mbona mimi siuoni? au macho yangu nini ukiona manyoya jua kaliwa.
nayaona manyoya hapa.


Wana jf,leo hali ya mwitikio wa watu ktk viwanja vya Mbugani P/School,ni dalili tosha kuwa wapinzani wa Wenje ktk jimbo la Nyamagana wasijisumbue kifanya kampeni wakitegemea kuwa wataweza kupambana na huyu jamaa! Wenje anatosha kabisa kuendelea kuliongoza jimbo hili kwani ameweza kutoa mchanganuo wa matumizi ya MFUKO WA JIMBO toka amekuwa Mbunge!

Kwa kweli hii ni ushahidi kuwa Mwanza hawaitaki ccm mafisadi kabisa. Huu umati ni nyomi
 
Wasukuma safari hii wameapa wanataka mzawa wa Mwanza ambaye atakaye saidiana na Dr.Magufuli.

Mzawa wa Mwanza Mkoa au Wlaya?

Uzuri wa Tannganyka ya NYERERE ni kuwa MZAWA wa Wilayani MWANZA is RELIGIOUS and TRIBAL CLEAN...

Kwahiyo kama ungetaka iwe kama KISUMU well labda ile Mwnza ya Nchini ZAMBIA...



FYI..
. Ritz

There is nothing really narrow about the clan; the thing which is really narrow is the clique. The men of the clan live together because they all wear the same tartan or are all descended from the same sacred cow; but in their souls, by the divine luck of things, there will always be more colours than in any tartan. But the men of the clique live together because they have the same kind of soul, and their narrowness is a narrowness of spiritual coherence and contentment, like that which exists in hell…. It is a machinery for the purpose of guarding the solitary and sensitive individual from all experience of the bitter and bracing human compromises"
 
Nilikuwepo sijawahi kuona watu wengi namna ile toka nizaliwe.ukawa mnawapa nini wasukama?
 
huo umani mbona mimi siuoni? au macho yangu nini ukiona manyoya jua kaliwa.
nayaona manyoya hapa.

Nimekusamehe bure baada ya kusoma jina lako. Hata hivyo umejitahidi kuonyesha japo unajua kusoma na kuandika ambayo ni sifa namba moja kwa mgombea wa ccm kwenye karne hii ya ushindani wa kiuchumi duniani. Halafu mnategemea shilingi isishuke!
 
Wasukuma safari hii wameapa wanataka mzawa wa Mwanza ambaye atakaye saidiana na Dr.Magufuli.
Naona unaendeleza alichokiasisi Role model wako Supreme Leader wa ACT, kuua umoja wa watanzania kwa kutumia propaganda za kishenzi za ukabila. Upigwe Vita kwa nguvu zote. Na katu watanzania tusikubali kuhujumiwa na baadhi ya wafuasi wapuuzi wa CCM kuvuruga umoja na mshikamano wetu kama watanzania na waafrika kwa ujumla wetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom