Kisigino cha Funza
Senior Member
- Jun 30, 2015
- 151
- 68
nilikuwepo kwa kweli si japata kuona, jamaa mmoja tuliyekuwa naye amesema hivi Wenje ana Mkono wa Albino?
Umenichekesha wewe
nilikuwepo kwa kweli si japata kuona, jamaa mmoja tuliyekuwa naye amesema hivi Wenje ana Mkono wa Albino?
Toa porojo zako wewe kuna watu wakabila kama nyie wakaskazini?Naona unaendeleza alichokiasisi Role model wako Supreme Leader wa ACT, kuua umoja wa watanzania kwa kutumia propaganda za kishenzi za ukabila. Upigwe Vita kwa nguvu zote. Na katu watanzania tusikubali kuhujumiwa na baadhi ya wafuasi wapuuzi wa CCM kuvuruga umoja na mshikamano wetu kama watanzania na waafrika kwa ujumla wetu.
Mbona mm siioni kamandaTumia tool bars zinazojitokeza juu ya message unayotype, natumaini hautumii kasimu, bonyeza hapo kwenye 'A' NA KUCHAGUA RANGI UNAYOPENDA!
Toa porojo zako wewe kuna watu wakabila kama nyie wakaskazini?
Sasa hivi mnalia lia ovyo na wote mmeamia kwa Lowassa kisa katoka Kaskazini leo kageuka malaika Chadema.
Punguza unafiki...
Wasukuma safari hii wameapa wanataka mzawa wa Mwanza ambaye atakaye saidiana na Dr.Magufuli.
Wasukuma safari hii wameapa wanataka mzawa wa Mwanza ambaye atakaye saidiana na Dr.Magufuli.
Wasukuma safari hii wameapa wanataka mzawa wa Mwanza ambaye atakaye saidiana na Dr.Magufuli.
Umetoka kwenye UKASKAZINI baada ya MGOMBEA wenu kutoka KASKAZINI ,naona umekuja kwenye UKABILA.Ritz tunachohitaji kwa sasa ni kutofarakana,uwezo wa kuongoza hauna ukabila,ukanda wala udini.
Mwenyekiti wenu amesema hata WAPINZANI wanawatu wazuri zaidi wa kuongoza TAIFA kuliko hata ndani ya CCM akamalizia kwamba hata WAPINZANI wana haki za msingi kabisa kuongoza Tanzania.
RITZ imetosha msiendele kutugawa
Ingekuwa mwanza ni Kaskazini basi vijana wa BAVICHA wasingeendelea kulia na Lowassa wao maana ile ndoto yao ya Rais lazima atoke Kaskazini imekuwa jinamizi kubwa.
naona unaleta porojo badala ya kujibu swali. nimekuuliza hivi HUO UMATI UPO WAPI?Nimekusamehe bure baada ya kusoma jina lako. Hata hivyo umejitahidi kuonyesha japo unajua kusoma na kuandika ambayo ni sifa namba moja kwa mgombea wa ccm kwenye karne hii ya ushindani wa kiuchumi duniani. Halafu mnategemea shilingi isishuke!
Toa porojo zako wewe kuna watu wakabila kama nyie wakaskazini?
Sasa hivi mnalia lia ovyo na wote mmeamia kwa Lowassa kisa katoka Kaskazini leo kageuka malaika Chadema.
Punguza unafiki...