Wana jf,leo hali ya mwitikio wa watu ktk viwanja vya Mbugani P/School,ni dalili tosha kuwa wapinzani wa Wenje ktk jimbo la Nyamagana wasijisumbue kifanya kampeni wakitegemea kuwa wataweza kupambana na huyu jamaa! Wenje anatosha kabisa kuendelea kuliongoza jimbo hili kwani ameweza kutoa mchanganuo wa matumizi ya MFUKO WA JIMBO toka amekuwa Mbunge!
Wasukuma safari hii wameapa wanataka mzawa wa Mwanza ambaye atakaye saidiana na Dr.Magufuli.
Hata mimi nilikuwapo, kwakweli, inavyoonekana, WENJE anawezavunja mwiko wa NYAMAGANA!
Hata mimi nilikuwapo, kwakweli, inavyoonekana, WENJE anawezavunja mwiko wa NYAMAGANA!
Tumia tool bars zinazojitokeza juu ya message unayotype, natumaini hautumii kasimu, bonyeza hapo kwenye 'A' NA KUCHAGUA RANGI UNAYOPENDA!kishimbe napenda kutype Kwan red ink Lakin sijui
Wana jf,leo hali ya mwitikio wa watu ktk viwanja vya Mbugani P/School,ni dalili tosha kuwa wapinzani wa Wenje ktk jimbo la Nyamagana wasijisumbue kifanya kampeni wakitegemea kuwa wataweza kupambana na huyu jamaa! Wenje anatosha kabisa kuendelea kuliongoza jimbo hili kwani ameweza kutoa mchanganuo wa matumizi ya MFUKO WA JIMBO toka amekuwa Mbunge!