Shetani ni mtoto wa MUNGU maana alimuumba, sisi ni watoto wa MUNGU maana alituumba, huu ni ugomvi wa ndugu...
Sababu zipi za msingi zinazosababisha BABA awaue watoto wote walioteleza kwa kulubuniwa na ndugu yao? Ndugu ambaye ni mmoja tu? Kwanini maelfu wafe sababu ya ndugu mmoja mkorofi aliyepewa uwezo wa ushawishi na nguvu kubwa ya ulaghai na BABA mwenyewe?
Na ukumbuke hii ni mara ya pili, ya kwanza aliua wote kwa maji, akaacha wachache sana ili wazaliane. Sasa ataua tena kwa moto wa milele, Kwann BABA anafanya hivi?
Kwanini kuwe na maamuzi tofauti ilihali wote wameumbwa kwa package iliyo sawa sawa?hakuna wanachozidiana,wanatofautiama maamuzi tu.
wewe ukiona mtu kaangusha simu,unaona ni sawa kumpelekea,mwingine anaona kapata ya kutumia,mwingine anaona akauze apate hela.
lakini nyinyi wote mna utashi unaoendana,anayefanya vibaya wazo la kwanza humjia,ni taarifa kwamba unachofanya si chema,ila hulipuuza.
Sijasema amezaa...Mungu hakuzaa
Moto ni adhabu kwa wale wenye kuasi na kwenda kinyume, ukomo wa adhabu hiyo anaijua mwenyewe Muumba.
Inatisha sana.katika moto wa milele hakuna kifo bali ni mateso ya kuunguzwa milele.
Mfano uliotoa ni tofauti na uwezo wa Mungu. Mzazi angekuwa na uwezo asingetaraji mpaka mwanae ahoji maumbile yake kwa kumchungulia, ndio ajue akili yake bali kabla ya chochote kutokea yeye mzazi angeshaanza kutambua na kisha kukiweka sawa. Umetoa mfano ambao unaonesha Mungu ni dhaifu asiyejua kama akili ya binadamu ipoje mpaka pale alipofanya tukio ndio katambua akili ya binadamu ilivyohaya sasa unasema wewe mkuu.
mwanao anazaliwa ukimwona kwamba mtoto,mnalala naye akiwa busy sana na mambo na michezo yake inayohusu utoto pekee,siku atakayoangalia sehemu yako na kukuhoji baba mbona ya kwako kubwa zaidi,hapa utampa tiketi kwamba sasa anatakiwa akalale peke yake.si kweli kwamba ulikuwa hujui atakuja kukua.
Mungu kamuumba binaadam akijua kabisa siku moja atakuja kudanganywa,ushindi kwa adam ulikuwa kukataa,akashindwa.
Adhabu yake imewekwa wazi na inajulikana kama ilivyo malipo adhabu nilazima uipate kwani ndo malipo kwa uliyoyatenda Swala la msamaha iwe kupunguza au kuondoa liko Juu yake Ila ni lazima kwanza utumikie/ulipwe kwa kile ulichochuma.Sijasema amezaa...
Kwa hiyo tunakubaliana kuwa suala la adhabu alijuaye ni MUNGU mwenyewe? Na pengine tafsiri ya neno moto wa milele inawezakuwa tofauti na tunayoelezwa kila siku?
Umekatazwa usidhini ila ukapewa mbadala wa kuoa sasa kwanini uziniInatisha sana.
Ni ukatili mkubwa kwa binadamu aliyezini kwa sababu ya nyege au aliyeiba sababu ya njaa.
Hakuna upendo hapo na hata wewe unajua hilo sema utakuwa mnafiki sababu huo moto unauogopa sasa unakuwa a coward kusifia usiloamini moyoni mwako.
Imagine unamuoma mama yako mzazi aliyeiba kazini kwake ili usome anachomwa milele na milele na milele halafu eti unasema ni Upendo. MWONGO WEWE ni muoga tu mnafiki ili na wewe usichomwe.
Sawa. Sijahoji uwepo wa adhabu. Nimehoji uhalali wa adhabu kulinganisha na kosa na usawa wa dhambi.Adhabu yake imewekwa wazi na inajulikana kama ilivyo malipo adhabu nilazima uipate kwani ndo malipo kwa uliyoyatenda Swala la msamaha iwe kupunguza au kuondoa liko Juu yake Ila ni lazima kwanza utumikie/ulipwe kwa kile ulichochuma.
Umekatazwa usidhini ila ukapewa mbadala wa kuoa sasa kwanini uzini
Iweje ufanye kazi ya kulipwa ujira wako halali alafu ifikie hatua uibe kwa kisingizio cha kusomesha huoni tatizo liko kwako na si kwa Mungu
Moto na pepo zote zinadaraja zake kulingana na uzito wa kila dhambi na kila mema utalipwa kulingana na kile ulichokipanda siku hiyo kuna watakaochomwa kila siku kuna watakao pumzishwa katika siku kwa kifupi usitarijie kufanya dhambi ukaona ni ndogo kwamaana adhabu ya mwenyezi haivumiliki cha muhimu ni kuepukana na adhabu hizo ukiwa hapa dunia kwa kufanya yaliyo amrishwa na kuacha yaliyokatazwa kwani ni kwa manufaa yako hapa dunia na kesho akhera.Sawa. Sijahoji uwepo wa adhabu. Nimehoji uhalali wa adhabu kulinganisha na kosa na usawa wa dhambi.
Dhambi zote ni sawa? Muuaji na msengenyaji yaani mmbea wote ni kiberiti si ndio?
Ndo mana ikashauriwa watu wavae stara kuficha maungo yao ni bora nusu shari kuliko shari kamili. Pia Mwenyezi Mungu ni mwenye kusamehe unaweza kutubia na akakusamehe soma kisa cha nabii yusufu na hakika utajifunza zaidi.Uzinzi unaanza na tamaa, na ukitamani hata kabla hujatenda tayari umezini. Kibiolojia wanaume karibu wote kama si wote ni wazinzi kiasili. Hata mkeo kuna kipindi ulimtamani kabla hujamuoa.
Dhambi zote ni sawa, Kiberiti kitakachomchoma mzinzi ndicho hicho hicho kitamchoma mchinjaji na mla nyama za watu. Wewe unaona ni sawa?
Kwanini kuwe na maamuzi tofauti ilihali wote wameumbwa kwa package iliyo sawa sawa?
Inatisha sana.
Ni ukatili mkubwa kwa binadamu aliyezini kwa sababu ya nyege au aliyeiba sababu ya njaa.
Hakuna upendo hapo na hata wewe unajua hilo sema utakuwa mnafiki sababu huo moto unauogopa sasa unakuwa a coward kusifia usiloamini moyoni mwako.
Imagine unamuoma mama yako mzazi aliyeiba kazini kwake ili usome anachomwa milele na milele na milele halafu eti unasema ni Upendo. MWONGO WEWE ni muoga tu mnafiki ili na wewe usichomwe.