Wengine hatumpendi Mungu tunajilazimisha tu

mkuu kumbuka wakati Mungu anamuumba mwadamu haikuwa lengo lake mwanadamu kufa ila alimwambia utakapo kula mtu huo ni hakika utakufa.

Na mimi na wewe tunajua kabisa kuwa shetani ndio sababu ya mwanadamu kula lile tunda kwa maana yeye ndie alie washawishi hivyo ni Lucifer anapaswa kulaumiwa juu ya vifo vya wanadamu.
Lakini yeye ni muweza wa yate? Kwanini hakujua ?
 
ninakuuliza,kujizuia ni jukumu la binaadam mwenyewe au napo mpaka msaada!!!sijui uliona hili swali??

hakuna sehemu palipoandikwa historia ya kila siku ya nuhu,stephano wala ayubu.
Tofautisha kati ya jukumu na uwezo. Tofauti ya kati ya sifa ya Mungu na binadamu ni uwezo. Binadamu anakikomo cha uwezo lakini Mungu hana kikomo cha uwezo.

Sasa kama hamna historia kamili ya mtu unahitimisha vipi kuwa ni wanadamu wasiowahi kufanya makosa?
 
Tofautisha kati ya jukumu na uwezo. Tofauti ya kati ya sifa ya Mungu na binadamu ni uwezo. Binadamu anakikomo cha uwezo lakini Mungu hana kikomo cha uwezo.

Sasa kama hamna historia kamili ya mtu unahitimisha vipi kuwa ni wanadamu wasiowahi kufanya makosa?

usiseme binaadam ana kikomo,hata science isiyoafikiana na uumbaji wa kimungu haikubaliani na hii dhana yako,Kiimani ndio kabisa,tunaambiwa shida ni imani ndogo tu,otherways hakuna limiti katika uwezo wetu.
sasa sijajua unasimama na science au imani,ambazo zote unapishana nazo.

mimi sijasema kuna binaadam hajawahi kufanya makosa.
 
usiseme binaadam ana kikomo,hata science isiyoafikiana na uumbaji wa kimungu haikubaliani na hii dhana yako,Kiimani ndio kabisa,tunaambiwa shida ni imani ndogo tu,otherways hakuna limiti katika uwezo wetu.
sasa sijajua unasimama na science au imani,ambazo zote unapishana nazo.

mimi sijasema kuna binaadam hajawahi kufanya makosa.

Kiimani hakuna sehemu yeyote inayokili kuwa binadamu hana ukomo wa uwezo. Kiimani anayesimama kwenye ukuu wa kutokuwa na kikomo cha uwezo ni Mungu pekee.
Tukija kwenye kisayansi kukili kuwa binadamu hana ukomo wa uwezo ni swala moja lakini kutenda jambo lisilowezekana likawezekana ni swala lingine tofauti. Je mambo ya asili yapi ambayo hao wanasayansi wamefanya ili kuonesha uwezo wao? Waliweza kubadili uwelekeo wa mzunguko wa dunia? Walimuumba binadamu yupi? Binadamu yupi aliyekufa wakamfufua? Wametenda yapi na hatusemei wamesema yapi.

Kama unakili kuwa hakuna binadamu yeyote asiyekosea inamaana unakili kuwa hata Ayoubo alikuwa anakosea pamoja ya kuwa mchamungu. Sivyo au ndivyo?
 
Kiimani hakuna sehemu yeyote inayokili kuwa binadamu hana ukomo wa uwezo. Kiimani anayesimama kwenye ukuu wa kutokuwa na kikomo cha uwezo ni Mungu pekee.
Tukija kwenye kisayansi kukili kuwa binadamu hana ukomo wa uwezo ni swala moja lakini kutenda jambo lisilowezekana likawezekana ni swala lingine tofauti. Je mambo ya asili yapi ambayo hao wanasayansi wamefanya ili kuonesha uwezo wao? Waliweza kubadili uwelekeo wa mzunguko wa dunia? Walimuumba binadamu yupi? Binadamu yupi aliyekufa wakamfufua? Wametenda yapi na hatusemei wamesema yapi.

Kama unakili kuwa hakuna binadamu yeyote asiyekosea inamaana unakili kuwa hata Ayoubo alikuwa anakosea pamoja ya kuwa mchamungu. Sivyo au ndivyo?

ukomo wa uwezo kiimani ni kweli haujawa limited maana unategemea imani ya binaadam husika,kwa Mungu ndiko kuna imani isiyokadirika ndio maana hata uwezo wake unaandikwa usio na kikomo.

kisayansi ni kweli hawajaweza kufanya hayo,lakini kwa uwezo wao wamefanya mengi pia ambayo yanaonyesha ni kwa jinsi gani Mungu hakuwawekea kikomo,inawezekana kumsikia na kumwona mtu aliye mamia au maelfu ya km kutoka ulipo,ameweza kusafiri melfu ya km ndani ya muda mfupi tu,na ameweza kuunda mashine zinazoweza kunyanyua vitu vizito sana.

mimi sijui kama ayubu alikosea,wewe unajua??
 
ukomo wa uwezo kiimani ni kweli haujawa limited maana unategemea imani ya binaadam husika,kwa Mungu ndiko kuna imani isiyokadirika ndio maana hata uwezo wake unaandikwa usio na kikomo.

kisayansi ni kweli hawajaweza kufanya hayo,lakini kwa uwezo wao wamefanya mengi pia ambayo yanaonyesha ni kwa jinsi gani Mungu hakuwawekea kikomo,inawezekana kumsikia na kumwona mtu aliye mamia au maelfu ya km kutoka ulipo,ameweza kusafiri melfu ya km ndani ya muda mfupi tu,na ameweza kuunda mashine zinazoweza kunyanyua vitu vizito sana.

mimi sijui kama ayubu alikosea,wewe unajua??
Mbona unajichanganya mara unakubali ni kweli halafu unakuja kusema tena uwezo wa binadamu haujawa limited. Haujawa limited au upo limited?
 
ukomo wa uwezo kiimani ni kweli haujawa limited maana unategemea imani ya binaadam husika,kwa Mungu ndiko kuna imani isiyokadirika ndio maana hata uwezo wake unaandikwa usio na kikomo.

kisayansi ni kweli hawajaweza kufanya hayo,lakini kwa uwezo wao wamefanya mengi pia ambayo yanaonyesha ni kwa jinsi gani Mungu hakuwawekea kikomo,inawezekana kumsikia na kumwona mtu aliye mamia au maelfu ya km kutoka ulipo,ameweza kusafiri melfu ya km ndani ya muda mfupi tu,na ameweza kuunda mashine zinazoweza kunyanyua vitu vizito sana.

mimi sijui kama ayubu alikosea,wewe unajua??
Wanasayansi kama wana uwezo usio na kikomo wanashindwaje kubadili jua likachomoza magharibi? Je kwanini wasimfanye binadamu asife?
 
mkuu kumbuka wakati Mungu anamuumba mwadamu haikuwa lengo lake mwanadamu kufa ila alimwambia utakapo kula mtu huo ni hakika utakufa.

Na mimi na wewe tunajua kabisa kuwa shetani ndio sababu ya mwanadamu kula lile tunda kwa maana yeye ndie alie washawishi hivyo ni Lucifer anapaswa kulaumiwa juu ya vifo vya wanadamu.
Kumbe mwenzetu ulikula! Mi hata silifahamu…
 
mkuu kumbuka wakati Mungu anamuumba mwadamu haikuwa lengo lake mwanadamu kufa ila alimwambia utakapo kula mtu huo ni hakika utakufa.

Na mimi na wewe tunajua kabisa kuwa shetani ndio sababu ya mwanadamu kula lile tunda kwa maana yeye ndie alie washawishi hivyo ni Lucifer anapaswa kulaumiwa juu ya vifo vya wanadamu.
Acheni kudanganywa!!huyo Lucifer nani alimfanya kuwa lucifer?si aliumbwa ili atudanganye sisi halafu tutupwe moyoni?nani alimuumba?si huyo huyo tu?kiburi alikitoa wapi si huko huko kwa aliemuumba?, Kumbuka hakukuwa na shetani zaidi ya yeye mwenyewe kiburi kilitoka wapi??
 
Back
Top Bottom