Mapungufu au udhaifu upo katika nyanja nyingi. Mimi nazungumzia mapungufu kwa maana utimamu wa akili na utashi.
Mtu muovu ana mapungufu katika akili na utashi. Twende kwenye uhalisia sasa;
Wewe
mkorinto unaichukia sana dhambi na pia haupendi kwenda kinyume na Mungu, lakini ukikaa usiku ukatathmini matendo yako unaona kabisa kuwa kuna mahali ulimkosea Mungu hata kama kwa kijikosa kidogo tu cha kumuongopea mtu na hiyo ndiyo nature ya binadamu no one is perfect 100% na huyo muumbaji ndiyo kafanya iwe hivyo. Sasa swala linakuja kwenye kiwango cha utimamu wa huu utashi na akili vinatofautiana na ndio maana wanapatikana watu wa matendo tofauti, wa tabia tofauti tofauti na mienendo tofauti tofauti. Aliyekuumba ndiye ametaka uwe hivyo