Shetani ni mtoto wa MUNGU maana alimuumba, sisi ni watoto wa MUNGU maana alituumba, huu ni ugomvi wa ndugu...
Sababu zipi za msingi zinazosababisha BABA awaue watoto wote walioteleza kwa kulubuniwa na ndugu yao? Ndugu ambaye ni mmoja tu? Kwanini maelfu wafe sababu ya ndugu mmoja mkorofi aliyepewa uwezo wa ushawishi na nguvu kubwa ya ulaghai na BABA mwenyewe?
Na ukumbuke hii ni mara ya pili, ya kwanza aliua wote kwa maji, akaacha wachache sana ili wazaliane. Sasa ataua tena kwa moto wa milele, Kwann BABA anafanya hivi?