Wengine hatumpendi Mungu tunajilazimisha tu

Wengine hatumpendi Mungu tunajilazimisha tu

Daah..noma sana ila kwanini kutishana kuwa kuna moto wa jehanamu.?

#MaendeleoHayanaChama
Ukiona unatishika basi jaribu kujichunguza matendo yako. Ni sawa na mvutaji wa sigara uanze kumuelezea athari za uvutaji wa sigari katika mapafu na mambo ya kansa na hatua zake hakika ni lazima atatishika hata kwenye imani ni hivyohivyo.
 
mkuu kumbuka wakati Mungu anamuumba mwadamu haikuwa lengo lake mwanadamu kufa ila alimwambia utakapo kula mtu huo ni hakika utakufa.

Na mimi na wewe tunajua kabisa kuwa shetani ndio sababu ya mwanadamu kula lile tunda kwa maana yeye ndie alie washawishi hivyo ni Lucifer anapaswa kulaumiwa juu ya vifo vya wanadamu.
Kweli kabisa mkuu
 
Shetan ovyo sana ndg,
Acha tu, hana upendo hata chambe kw mwanadam,
Tuendelee kujinyenyekeza kwa Mungu,
Yu mwema kbs.
Cha muhimu tumuombee sana ndugu yetu, kafika katika situation ngumu sana

Mungu ampe wepesi
 
Jf kuna watu mnapenda sana kulalamika.
Sijui ndio mnapenda kuonewa huruma..!!
Kwani nani hajawai kufiwa..??
Kwani nani hajawai kuhangaika..??
Kwani nani hajawai kupitia magumu..??
Kwani nani hajawai kua mkiwa..??
Kwani nani hajawai kukataliwa..??
Kwani nani hajawai kutengwa..??
Kwani nani hajawai kuhuzunika..??
Ebu kaza mtoto wa kiume, ikingali ungelitupwa Kama sisi sijui ungeiambia nini dunia...🤷
 
Ila stress ni mbaya jamani khaaaa....!mtu unafikiaje hatua hii??
 
Kwamba?
Kama tatizo ni Hela Sasa hivi Dunia nzima inapitia kipindi kigumu kiuchumi.

Tunapaswa kuwa Na Subra. Mungu yupo Na anatupenda sana

Tunapaswa kumshukuru Kwa Kila Jambo.
Amen, ama kweli hiki ndicho ulipaswa kumjibu yule bwana kwani kina barka ndani yake

Subra ni jambo muhimu sana, wengi wetu tunafeli hapo kwa kutaka mambo yaende kwa matamanio yetu na ndo hapo hapo tunapokwama
 
Kwanini unatuambia sisi?
Ama unataka na sisi tumchukie?
HAIWEZEKANI
Nishetani tu kampitia, shetani anatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha hafi peke yake kwenye moto wa jehanamu

Tusali sana wapendwa
 
Back
Top Bottom