Tanganian
JF-Expert Member
- Jan 27, 2025
- 6,515
- 11,054
Wewe una nguzo nyeusi mpaka kwenye tumbo ila bado mshamba , umefadhiliwa hapo unabeba box .Kwasababu huna kitu cha kujitetea ewe mmatumbi
Wewe una nguzo nyeusi mpaka kwenye tumbo ila bado mshamba , umefadhiliwa hapo unabeba box .Kwasababu huna kitu cha kujitetea ewe mmatumbi
Sasa bado mshamba , unababaika dogo .Kingereza ni lugha kama kisukuma tu isikuogopeshe ewe mmtaumbi mjinga
Sasa hiki ndo kigezo cha kujivunia kuwa mmatumbi?siku ukifika afghstan, irani au pakistan kuna kitu utamaduni wao unaitwa bacha bazi ni unyama na ushetani, huu utamaduni wanaume watu wazima wanachukuwa watoto wa kiume wadogo miaka labda 10 hasa kutoka familia masikini wanawaweka ndani na kuwachezea kwa kuwalawiti, wanachezeshwa ngoma kuwavalisha magauni na kuwafila, na wanao fanya hivi ni wale maelite matajiri, yaani ni jambo la kujivunia, ni lazima uwe na uwezo ndiyo upate privillege ya kuchezea watoto watoto wa kiume, ni kawaida ira, pakistani na afghstan.
hivyo kama ulifikiri watu weusi tumelaaniwa haujatembea bado.
google kuhusu bacha bazi, ni neno la ki-persia i.e kiirani
i bless the day Wamisionari walikanyaga ardhi yetu ...
Sasa hiki ndo kigezo cha kujivunia kuwa mmatumbi?
What a pitty way of thinking dude.
Kwani hayo mataifa yaliyo endelea hakuna wapuuzi wachache?
Let's not compare our state of illiteracy to other people's bad culture, it's them na sisi ndo kitu pekee tuna weza. Comparing, hata mzungu leo akianzisha trend ya kuvaa cheni mapajani mmbongo atafuata tu
Nakubaliana na POV yako ila naona kabisa kwa wamatumbi sio special case hili ni janga lisilo komanimekujibu hivyo kwa maana umetumia neno sisi ni "watu pekee duniani" tunaofanya blah blah, ndiyo nikakwambia hatuko pekee yetu, ingawaje tuna matatizo lkn ukitembea hii dunia kuna mambo huko asia ya kishetani ambayo ni ya kawaida kwao lkn ushetani hata by tanzagiza standards ...
Dagaa gani hilo ambalo ni bei rahisi?Hapana, ni bei rahisi tu ila dagaa anafaida sana hasa madini ya chuma.
Wamatumbi huendekeza mlo huo huo. Hawataki balanced diet ndo maana wamekomaa sana
Mbona wakati wa Magufuli mgalatia mwenzetu tulikuwa tunampinga hadi wengine kufjngwa, kuuwawa na kupigwa risasi. Ni nyinyi kobaz ndo midini.... Ndio watu pekee wanaoichukia CCM chini ya mwenyekiti Kobazi lakini akiingia wa dini yao CCM nzuri hata kama jamaa yao ni nunda!
Maskini gani huyo familia yake inakula kg ya nyama siku 1?🤔Kilo moja ya dagaa utaweza kulinganisha na ya nyama.
Kuna watu wanakula kilo moja week 2 mfulilizo na nyama akinunua kilo ana kula siku tu
ni kweli kabsa uwezi kujifananisha na mtu yeyote wew ni wa pekee dunia nzima hakuna mtu kawa wew jikubali watu waache wafanye wanavyotakaVyote havina maana , mbio za maisha ni zile zile ;kuzaliwa na kufa . Hayo mengine ni ujinga wa kujifananisha , kama mwanaume usipende kujifananisha kabisa.
Mmatumbi hatoshekiMbona wakati wa Magufuli mgalatia mwenzetu tulikuwa tunampinga hadi wengine kufjngwa, kuuwawa na kupigwa risasi. Ni nyinyi kobaz ndo midini.
Tanganian Jagina @kraag Kubwa la Maadui
@adruz de mbusii