Wengi wetu Afrika hawabebeki hata ufanyaje!

Wengi wetu Afrika hawabebeki hata ufanyaje!

Hakika itoshe kusema wamatumbi(ngozi nyeusi) hawatofautiani na nyumbu tu

Wamatumbi ndo watu pekee wanaweza kufanya jambo lile lile kwa miaka 50 straight bila kukinai

Wamatumbi ndio watu pekee wanao kwenda shule lakini wakabaki kuamini ushirikina

Wamatumbi ndo watu pekee watakao kushauri uache pombe na umalaya wakati ndo wao wamuwindao mkeo.

Wamatumbi ndo watu pekee wakusemawo vibaya ukiteleza na wakati wewe ndo uliowatoa kwenye dimbwi la umaskini

Wamatumbi ndo watu pekee wasio amini katika jitihada na mafanikio pasipo kutoa kafara

Ndio watu pekee washindiawo ugali dagaa huku wakimiliki iPhone 17 pro max

Ndo watu pekee wasio penda ustaarabu wa kufuata protocol wanapenda shortcut

Ndo watu pekee wasio na u rafiki wa kudumu anakuchekea usoni wakati ukimpa kisogo anakusngenya

Hakika wamatumbi ni jamii mbaya sana duniani, ni watu wasio bebeka...😔

Mwenye nongwa na yeye ni mmatumbi basi afanye kama hajasikia... Aamke blue Monday hii akaendele kufanya kitu kile kile kwa miaka 50.

Nimemaliza.
... Ndio watu pekee wanaoichukia CCM chini ya mwenyekiti Kobazi lakini akiingia wa dini yao CCM nzuri hata kama jamaa yao ni nunda!
 
Shida moja ya mmatumbi hajui ya kuwa kujibu bila logic is one sign of mental illness. Yeye anaona majibu ila haswa ka react tu baada ya kuwa triggered
Una logic zipi dogo ? Kzi kuhangaa maghorofa , labda una nn cha zaidi . kwanza kawachukue wazazi wako kijijini huko.
 
Una logic zipi dogo ? Kzi kuhangaa maghorofa , labda una nn cha zaidi . kwanza kawachukue wazazi wako kijijini huko.
Stop throwing inner bulimic trantum amka na ubadilike wacha kuishi kama nyumbu
 
siku ukifika afghstan, irani au pakistan kuna kitu kwenye utamaduni wao kinaitwa bacha bazi ni unyama na ushetani, huu utamaduni wanaume watu wazima wanachukuwa watoto wa kiume wadogo miaka labda 10 hasa kutoka familia masikini wanawaweka ndani na kuwachezea kwa kuwalawiti, wanachezeshwa ngoma kuwavalisha magauni na kuwafira, na wanao fanya hivyo ni wale ma-elite matajiri, yaani ni jambo la kujivunia, ni lazima uwe na uwezo ndiyo upate privillege ya kuchezea watoto wadogo wa kiume, ni kawaida huko irani, pakistani na afghstan.
hivyo kama ulifikiri watu weusi tuna matattizo haujatembea bado, huko asia ni zaidi ya laana.

google kuhusu bacha bazi, ni neno la ki-persia i.e kiirani

i bless the day Wamisionari waliyokanyaga ardhi yetu ...
 
Akili yako imefikia mwisho kuongea kingereza, angalia fala hili ..Wewe mshamba wa wapi ?
Utumizi wa maneno kama hayo ni ishara umejivika unyumbu wako hadharani. Hauna mask kama walivyo wamatumbi wenzako
 
Wewe ni hanithi , na mjinga ..Mtumwa uko utumwani , endelea kubeba box na kujifunza kingereza ili ukawaringishie kijijini kwenu ukirudi.
Kingereza ni lugha kama kisukuma tu isikuogopeshe ewe mmtaumbi mjinga
 
Back
Top Bottom