Mbona wakati wa Magufuli mgalatia mwenzetu tulikuwa tunampinga hadi wengine kufjngwa, kuuwawa na kupigwa risasi. Ni nyinyi kobaz ndo midini.
Tanganian Jagina Kraang Kubwa la Maadui
@adruz de mbusii
Kobazi mwenzako huyu
Mbona wakati wa Magufuli mgalatia mwenzetu tulikuwa tunampinga hadi wengine kufjngwa, kuuwawa na kupigwa risasi. Ni nyinyi kobaz ndo midini.
Tanganian Jagina Kraang Kubwa la Maadui
@adruz de mbusii
Hahahahahaaaaa
Ugonjwa ulionao ni kujichukia, ni kama vile watu wanavyokuwa wepesi kuua mwizi wa kuku, au simu, lakini wakisikia waziri kaiba bilioni 100,hata kumrushia jiwe tu wanaogopa, hasira zao watazimalizia kwa wanyonge waliokaribu nao, SA wameumiza wahamiaji haramu, weusi kwa vile ni rahisi kuwafikia,na kupunguza hasira, hawana uwezo wa kwenda Cape Town, Pretoria, wakavsmia maeneo ya wenye mipesa Yao, ni rahisi kuvamia tandale, kawe, kitunda, jichanganye ufike,masaki, Oyster Bay!Hakika itoshe kusema wamatumbi(ngozi nyeusi) hawatofautiani na nyumbu tu
Wamatumbi ndo watu pekee wanaweza kufanya jambo lile lile kwa miaka 50 straight bila kukinai
Wamatumbi ndio watu pekee wanao kwenda shule lakini wakabaki kuamini ushirikina
Wamatumbi ndo watu pekee watakao kushauri uache pombe na umalaya wakati ndo wao wamuwindao mkeo.
Wamatumbi ndo watu pekee wakusemawo vibaya ukiteleza na wakati wewe ndo uliowatoa kwenye dimbwi la umaskini
Wamatumbi ndo watu pekee wasio amini katika jitihada na mafanikio pasipo kutoa kafara
Ndio watu pekee washindiawo ugali dagaa huku wakimiliki iPhone 17 pro max
Ndo watu pekee wasio penda ustaarabu wa kufuata protocol wanapenda shortcut
Ndo watu pekee wasio na u rafiki wa kudumu anakuchekea usoni wakati ukimpa kisogo anakusngenya
Hakika wamatumbi ni jamii mbaya sana duniani, ni watu wasio bebeka...😔
Mwenye nongwa na yeye ni mmatumbi basi afanye kama hajasikia... Aamke blue Monday hii akaendele kufanya kitu kile kile kwa miaka 50.
Nimemaliza.
Wrong perceptionUgonjwa ulionao ni kujichukia, ni kama vile watu wanavyokuwa wepesi kuua mwizi wa kuku, au simu, lakini wakisikia waziri kaiba bilioni 100,hata kumrushia jiwe tu wanaogopa, hasira zao watazimalizia kwa wanyonge waliokaribu nao, SA wameumiza wahamiaji haramu, weusi kwa vile ni rahisi kuwafikia,na kupunguza hasira, hawana uwezo wa kwenda Cape Town, Pretoria, wakavsmia maeneo ya wenye mipesa Yao, ni rahisi kuvamia tandale, kawe, kitunda, jichanganye ufike,masaki, Oyster Bay!
Wamatumbi Corruption wanaiita connection.Hakika itoshe kusema wamatumbi(ngozi nyeusi) hawatofautiani na nyumbu tu
Wamatumbi ndo watu pekee wanaweza kufanya jambo lile lile kwa miaka 50 straight bila kukinai
Wamatumbi ndio watu pekee wanao kwenda shule lakini wakabaki kuamini ushirikina
Wamatumbi ndo watu pekee watakao kushauri uache pombe na umalaya wakati ndo wao wamuwindao mkeo.
Wamatumbi ndo watu pekee wakusemawo vibaya ukiteleza na wakati wewe ndo uliowatoa kwenye dimbwi la umaskini
Wamatumbi ndo watu pekee wasio amini katika jitihada na mafanikio pasipo kutoa kafara
Ndio watu pekee washindiawo ugali dagaa huku wakimiliki iPhone 17 pro max
Ndo watu pekee wasio penda ustaarabu wa kufuata protocol wanapenda shortcut
Ndo watu pekee wasio na u rafiki wa kudumu anakuchekea usoni wakati ukimpa kisogo anakusngenya
Hakika wamatumbi ni jamii mbaya sana duniani, ni watu wasio bebeka...😔
Mwenye nongwa na yeye ni mmatumbi basi afanye kama hajasikia... Aamke blue Monday hii akaendele kufanya kitu kile kile kwa miaka 50.
Nimemaliza.
Kwanini dkt samia akifanya yanayomhusu mnapiga mayowe?Na umatumbi halisi ndio huu uliouonyesha hapo Umeamka tu unawaongelea watu ambao hawali kwako...
Maisha ni matamu sana kila mtu akifanya yanayomhusu
Anajiita Hater aliyetunukiwa chetiMmatumbi haangalii ujumbe anaangalia ujumbe unamfanya ajihisi namna gani. Hisia ndo silaha pekee ya kumuangamiza mmatumbi