Wema Sepetu Na Mpenzi Wake MPYA

Wema Sepetu Na Mpenzi Wake MPYA

....Nasikia nae ni bata!na analazimishia kabisa ndio haja yake na mzuka unatulia!mtoto ana figure nzuri sana basi tu kwenye miti...
 
weee shia adabu yako mie dada yako mkubwa ..........lolz!!
mwanao Blaine anapaswa aniite mamkubwa umeelewa?? nakushangaa unanisahau ilihali mm do nilikuwa nakufulia nepi na kukutawaza ulipokuwa mdogo. tena umesahu kuna siku nilikuunguza kwa maji ya moto mgongoni wakati nakuogesha.
unataka kuanzisha World War 3 baina yako na mama?. naenda kutafuta hifadhi kwenye handaki kuepuka dhoruba 🙂

hii nayo ni nini??
kumbusu mwanamke mwenzangu mdomoni siwez sembuse kumlisha keki?? ama kweli najivunia tu kuwa kibibi aka kikongwe aka kizee.
cc Dark City, @fp
mambo ya digitali mamdogo >_>
 
khaaa! hivi hapa hiki ni nini nacho?? naskia kutapika aagrrrrrhhhhhhhh!
kwanza tu inaonekana wamelewa bwiiiiiiiiii, halafu alivyomlalia like hata kuvuliwa nguo avunjiwe mayai hatajali. istoshe huyo mvulana mwenyewe mbaya mungu nisamehe sijaumba ila aaaaaaah! hapana basi na hilo pozi ndo ikaonekana uchafu uchafu.
ngoooja ngooja kwanza !unaweza kumeza mtu ujue kwa hii speed ya hasira my shostilo! oh
 
Jamani... Wema kweli ndo tuwe tunapoteza muda wetu hapa kumjadili na boyfriend wake sijui wa ngapi? Mbona kesha kuwa nao weeeeeengggiii! Ni kama daftari kila mmoja anaweza kuliandika.
 
....Nasikia nae ni bata!na analazimishia kabisa ndio haja yake na mzuka unatulia!mtoto ana figure nzuri sana basi tu kwenye miti...

unataka kusema nimwite Boflo au?ahahahahhahhahahha boflo enh waitwa huku!
 
Last edited by a moderator:
hii nayo ni nini??
kumbusu mwanamke mwenzangu mdomoni siwez sembuse kumlisha keki?? ama kweli najivunia tu kuwa kibibi aka kikongwe aka kizee.
cc Dark City, @fp

Ndo hatari hiyo tunayokumbana nayo kama wazazi tena wa 1947.....

Mhhhh....kazi ipo..

Babu DC!!
 
unataka kuanzisha World War 3 baina yako na mama?. naenda kutafuta hifadhi kwenye handaki kuepuka dhoruba 🙂

mambo ya digitali mamdogo >_>
kwanza kabisa niite mamkubwa mama yako hanipati kwa umri hata angekesha sawa???

hayo ya digital ya kulishana keki kwa midomo?? ptuuuuu bora nimebaki kwenye analogia tu.
 
Ndo hatari hiyo tunayokumbana nayo kama wazazi tena wa 1947.....

Mhhhh....kazi ipo..

Babu DC!!

ama kweli jamani natamani sana mashirika yanayotetea haki hata kama zina dhalilisha utamaduni wetu yafungiwe ama la tusijihusishe nayo.
sasa ukisema kakosea utaskia haki za binadamu wakidai ana uhuru wa kufanya hayo hajavunja sheria lol!!!
 
Du! Kweli huyu changu jiko la mchina kama siyo daladala. Yaani anabeba kila kinachopita karibu naye! Nadhani miwaya itamsaidia kutulia kama siyo kuchusha na kususwa.

Asione suruali imepita anataka kujua zipu ya rangi gani looo! shost kazidi
 
Jamaa aliekua na wema ana undugu na kigogo wa juu hapa nchini, ila namsikitikia kwani "HILO NI JIKO LA SHAMBA HALICHAGUI KUNI" matete, maboriti, mbuyu, twende tuu!!!!!!!!!!
 
Nikisema utamu utamu, mama nasib mama ehee, mama wema maaaaa eheee mama kidoti maaaaaaa nikisema utamu utamuuuuuuu.
 
Bora huyu hendisamu kuliko yule domondi, sema domondi nasikia ana mguu wa mtoto
RISASIFRONT2.jpg

wema akipata busu na mpenzi wake mpya

 
Wema the first day niliona picha yake kwny gazeti aliposhinda miss tz nilijua atakuja sumbua sana kwa uzuri wake kweli mtoto ameumbika mashaallahhhhh
 
Mwanamke kujiheshimu kuna raha yake.Ikitokea kila size ya kiatu anavaa,atakuta vingine vimevaliwa na wengine na akatoka na fangasi ndugu zisizopona.
 
hahaha yawezekana yeye anaona ujiko alafu anapewa promo na wapenzi wengi wanamiminika kutuma maombi wagegede kwa hiyo anawapanga kweli list


kweli na nafikiri ana hisa na magazeti pia!
 
Back
Top Bottom