Wema Sepetu kushiriki Big Brother Africa

Ni hivi punde nimeiona hii kupitia blog ya www. miss Jestina george.com,kwamba wema sepetu msanii mwenye kila aina ya vituko lukuki,kwamba ni miongoni mwa watanzania ambao wako mbioni kutua katika lile shindano la Big brother afrika,2013.

My take:hivi ni namna gani huu mchakato wa kupata wawakilishi wa taifa hili huko big brother afrika unavyoendeshwa?

Je ni katika upana gani mchakato huu hutangazwa nchi nzima ili watu wengi waweze kujitokeza ili kumpata mtu sahihi mwenye upeo mpana mwenye kuweza kuchanganua mambo kulingana na dunia ya leo.
Ebu wadau kwenye hili tueleweshane kuhusu hnii multichoice na jinsi inavyofanya shughuli zake hapa nchini.

Hivi wewe kwa akili yako unaona Big Brother Afrika na uwakilishi wa nchi ni jambo la kujivunia kama taifa....acha us...e!
 
Mwacheni akafanye umalaya huko nyie kinachowauma ni nini? Pelekeni dada zenu basi kama mnaona ni ufahari kwenda kule kwenye ushenzi
 
ndo maama BBA inakuwa hovyo machoni pa watu,kumbe waliooza hivi na kustink ndo huwa wanakuwa nominees? i gota smething!
 
Kama ni kweli basi tutegemee kuonyeshwa Ndude yake Live! kwakua hakuna uchafu ambao hajatuonyesha kasoro Ndude zake!
 
bba itapata watazamaji wengi sana kipindi hiki hasa wakati wa usiku...
 
Ni hivi punde nimeiona hii kupitia blog ya www. miss Jestina george.com,kwamba wema sepetu msanii mwenye kila aina ya vituko lukuki,kwamba ni miongoni mwa watanzania ambao wako mbioni kutua katika lile shindano la Big brother afrika,2013.

My take:hivi ni namna gani huu mchakato wa kupata wawakilishi wa taifa hili huko big brother afrika unavyoendeshwa?

Je ni katika upana gani mchakato huu hutangazwa nchi nzima ili watu wengi waweze kujitokeza ili kumpata mtu sahihi mwenye upeo mpana mwenye kuweza kuchanganua mambo kulingana na dunia ya leo.
Ebu wadau kwenye hili tueleweshane kuhusu hnii multichoice na jinsi inavyofanya shughuli zake hapa nchini.

Kila kitu siku hizi kiko kwenye mtandao hapo kabla ya kuuliza hapa ungeenda kwenye search engine kuuliza hayo yote ndo ungejua kama Wema mwana wa balozi Sepetu anafit au siyo. Usifikiri ni shindano la kuoneana wivu wengine wamelipuuzia maana kuonyeshwa maungo yao wazi au utupu wao kwenye kadamnasi sio kasumba yao. Sasa wewe leo unakurupuka jaziba kibao kisa Wema Sepetu???? Who cares hata kama ni mabilioni lakini privacy zetu ndo za kwanza kwenye maisha yetu. haya jiandae kwa mwakani kama unahisi unafit
 
Ahhh Ahhh, Wema Sepetu? Mtoto wa Balozi Sepetu, Mzee wa kutembeza Kifimbo Cheza, teteteteee.

Kama Baba kama Mutoto. Nafikiri Wema kachukua tabia zoooote za Baba yake Balozi SEPETU. Mzee wa kushusha zipu.

Kama kuna siku Big Brother wamepatia kuchagua mtu kwa Tanzania, basi huyu ndiyo anatufaa sana.

Mtu na SHOW, wote wako juu kwa Scandal. Sasa mnataka nani aende? Sister wa Kanisa?

Kama Wema ukienda, nenda na utuwakilishe vizuri sana ili watalii wazidi kumiminika Tanzania. Siyo Watalii wafikiri Tanzania imejaa Wapendwa wa kila aina kwa kuanzia wa Kikristo hadi wa Kiislam. By the way, Mtoto wa Kiislam amepotea na Blog yake jamani.

WEMA.jpg
 
Kwa shindano lile jamaa wamepatia hasa!kiufupi ili uwe mshiriki wa BBA lazima uwe na maadili,silka,hulka iliyopinda!
 
kuwakilisha taifa... acha utani!katika umalaya na uhuni,kahama labda kuwakilisha wewe, watt mnautani sana na mambo yenu yasiyo na kichwa wala miguu...
 
Back
Top Bottom