Wema Sepetu kushiriki Big Brother Africa

tenanzinyo

Member
Dec 28, 2012
64
21
kuna habari zimesambaa mjini leo kwamba baada ya kushawishiwa sana na watu hatimaye yule mwanadafada mrembo na star wa move za kibongo Wema Sepetu amechukua form ya kuomba kushiriki shindano la Big Brother Africa linafanyika nchini Afrika ya kusini baadaye mwaka huu!
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1359752143493.jpg
    uploadfromtaptalk1359752143493.jpg
    44.6 KB · Views: 547
Kwa wale wabishi wa kununua ving'amuzi, hapa lazima wanunue tuu.
 
Asipopata bwana huko nahama jf

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Yaani kama namuona kuanzia siku anaingia yeye kuonbjesha pipi hadi anatoka...full aibu tu kama hawamjui watashangaa sana maana ana pepo la ngono
 
walambe tu kwani nani kakataa!!!

Lakini nilichokiona ni ulambikaji wake upo wazi na karibu kila mmoja anajuwa, kuna wale wanaolambwa kwa siri siri inawezekana wana idadi kubwa ya waliowalamba kuliko hata Wema. Inawezekana Eveline salt una mstari mrefu kuliko wa Wema, ni vile walioko kwenye mstari wako hatuwajui..
 
Lakini nilichokiona ni ulambikaji wake upo wazi na karibu kila mmoja anajuwa, kuna wale wanaolambwa kwa siri siri inawezekana wana idadi kubwa ya waliowalamba kuliko hata Wema. Inawezekana Eveline salt una mstari mrefu kuliko wa Wema, ni vile walioko kwenye mstari wako hatuwajui..

Ni wengi mno ukiwaweka kwenye Green star hawatoshi level siti!!!!
 
Sina shida naye. Mashine yenyewe inaitaji Overhal. Bora tu wakajitafunie
 
Ntahakiksh nalipia dstv muezi yote mitatu ntanunua na pvr nimesikia kuwa wataonyesha wakiwa bafuni yaalaaaaaahhhhh
 
Da bwawa limeingiwa na luba,hiyo BB imefika mahali pake kwa dada yetu Wema,haya majina nayo jina linaendana na tabia ya mtu Wema ni dada mwema sana KUNNYIMA MI NTU KITU ALICHONIPA MUNGU NAONA AIBU BWANA WEWE SOMOOO BAH
 
Da bwawa limeingiwa na luba,hiyo BB imefika mahali pake kwa dada yetu Wema,haya majina nayo jina linaendana na tabia ya mtu Wema ni dada mwema sana KUNNYIMA MI NTU KITU ALICHONIPA MUNGU NAONA AIBU BWANA WEWE SOMOOO BAH
Hivi ni mmakonde?
 
Back
Top Bottom