Kumbe ndio maana mkulu hakosi kwenye mazishi ya wasanii ili kuwavuta waanze kuvaa green shirts? Haya bwana ngoja tuone mvuto wao kuelekea 2015 hasa pale watakapo anza kuonyesha vyupi hadharani ili kuleta mvuto kwa chama chetu [pendwa CCM]. Ila nina hakika kule kijijini kwetu hata akiacha paja nje atatolewa kwa bakora
madame x hiyo ni style ya kutega hiyo mizee yenye kijani ambayo haitaki kupitwa na kitu. Hapo udenda unadondoka mpaka chini haaaaaah!!!
Wema nae hata kama biashara matangazo lakini anatakiwa kuwa mstaarabu kidogo.
kuan zeee limeshafika bei
kwa kila jambo kuna kusudi na wakati na mahali
View attachment 78945
Panzi! Panzi! Panzi!, Wema Sepetu (shati ya kijani) akifunika uso wake kwa kipochi chake, huku akipiga kelele na kujiingiza katika kundi la wazee, kwa sababu ya kuogopa panzi aliyemdandia wakati wa shughuli za uzinduzi huo shambani
Jamani hata akili ya kufikiria hakuna. ..shughuli kama hiyo mtu sijui ndo mgeni rasmi anatinga na tight yeah skintight ndani ya watu wazima wenye heshima zao.
Bongo ...its long way guys
mbona anampa hela kwa mkono wa kushoto.......au nimeona vibaya.View attachment 78944
Wema akimkabidhi sh. 500,000 mmoja wa wananchi wa Kwadelo walioathirika na mafuriko. Kwa mujibu wa Diwani Kariati (wapili kushoto), fedha hizo zimetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Meembe ambaye ni mzee wa heshima wa kata hiyo.
sijaelewa sana hii.......................................
Samahani naomba mnijuze cheo cha dada Wema please huko CCM
Chama kimepata kada sasa,hongera wema
2010 mkuu wa kaya aliwatumia sana hawa...wasanii wote wamevutika chamani, nadhani ni mpango mkakati towards 2015
Jamani hata akili ya
kufikiria hakuna. ..shughuli kama hiyo mtu sijui ndo mgeni rasmi
anatinga na tight yeah skintight ndani ya watu wazima wenye heshima zao.
Bongo ...its long way guys