gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,675
Wakati fulani nikiwa Bagamoyo Sekondari, alikuja Mwl Mazengo, kama Headmaster mpya. Alikuta shule ikiwa na uhuni mwingi. Mathalani, hatukuwa na utaratibu wa kuoga laundry/bafuni. Tulioga nje kwenye vichaka kukwepa fangas. Watu walikuwa wanakula sana bangi na ijapokuwa vipindi viliisha saa nane na dakika arobaini, saa saba kamili tayari watu walishajaa mwabwenini wamelala. Kila alipokuwa akiuliza mbona mnafanya hivi, wenye guts walimjibu, 'Ndivyo tulivyozoea'. MadameX, hawa ndivyo walivyozoea, kukaa uchi kuonesha rangi za vichupi vyao ili angalau tuu wapate wakuwatongoza! I wish wangekuwa sekondari my sweet mom gfsonwin avikomaze vipaja na viwowo vyao (kama bado havijakomaa) kwa bakora. Hivi si bado wanafunzi wanaruhusiwa kuchapwa?
mwanangu Ronn M, wala usishangae sana, ukiona mtu hana nidhamu hata ya mavazi ambayo yanatambulisha utu wake basi ujue mtu huyo kakosa maadili na hakuna jina jepesi la kumwita.
binafsi kama ni mm naenda sehem kama hiyo kitenge kirefu hadi chini tana kisichokuwa na mpasuo kingehusika hapo. tight kama hiyo naweza ivaa nikienda shopping ama nikienda kukutana na friends just for drinks baasi.
Last edited by a moderator: