Wema Sepetu Gambani

Wakati fulani nikiwa Bagamoyo Sekondari, alikuja Mwl Mazengo, kama Headmaster mpya. Alikuta shule ikiwa na uhuni mwingi. Mathalani, hatukuwa na utaratibu wa kuoga laundry/bafuni. Tulioga nje kwenye vichaka kukwepa fangas. Watu walikuwa wanakula sana bangi na ijapokuwa vipindi viliisha saa nane na dakika arobaini, saa saba kamili tayari watu walishajaa mwabwenini wamelala. Kila alipokuwa akiuliza mbona mnafanya hivi, wenye guts walimjibu, 'Ndivyo tulivyozoea'. MadameX, hawa ndivyo walivyozoea, kukaa uchi kuonesha rangi za vichupi vyao ili angalau tuu wapate wakuwatongoza! I wish wangekuwa sekondari my sweet mom gfsonwin avikomaze vipaja na viwowo vyao (kama bado havijakomaa) kwa bakora. Hivi si bado wanafunzi wanaruhusiwa kuchapwa?

mwanangu Ronn M, wala usishangae sana, ukiona mtu hana nidhamu hata ya mavazi ambayo yanatambulisha utu wake basi ujue mtu huyo kakosa maadili na hakuna jina jepesi la kumwita.

binafsi kama ni mm naenda sehem kama hiyo kitenge kirefu hadi chini tana kisichokuwa na mpasuo kingehusika hapo. tight kama hiyo naweza ivaa nikienda shopping ama nikienda kukutana na friends just for drinks baasi.
 
Last edited by a moderator:
Jamani hata akili ya kufikiria hakuna. ..shughuli kama hiyo mtu sijui ndo mgeni rasmi anatinga na tight yeah skintight ndani ya watu wazima wenye heshima zao.

Bongo ...its long way guys

Kwani hao wazee una uhakika kama wana nguo za ndani?
 
Jamani hata akili ya kufikiria hakuna. ..shughuli kama hiyo mtu sijui ndo mgeni rasmi anatinga na tight yeah skintight ndani ya watu wazima wenye heshima zao.

Bongo ...its long way guys


ACHAA WIVU madameX,,ulitaka avae gauni??? wacha wazee wajionee uzinduzi huo
 
nikiangalia kwa haraka sijui anamvutia nani hapo au kina Ray wenzie maana yake huyo tu ndio hajagusa huo mwili
mwanangu Ronn M, wala usishangae sana, ukiona mtu hana nidhamu hata ya mavazi ambayo yanatambulisha utu wake basi ujue mtu huyo kakosa maadili na hakuna jina jepesi la kumwita.

binafsi kama ni mm naenda sehem kama hiyo kitenge kirefu hadi chini tana kisichokuwa na mpasuo kingehusika hapo. tight kama hiyo naweza ivaa nikienda shopping ama nikienda kukutana na friends just for drinks baasi.
 
00.jpg
angeenda hivi ndio wazee wangejionea uzinduzi
 
Ama kweli heshima ni pesa....shikamoo ni kelele tu. Ukiwa nazo kumbe unaweza ukawaburuza sana tu.
 
hapo ni uzinduzi wa kilimo kwanza au usanii kwanza?angalia wazee wa watu wanavyomuangalia binti kwa sura zenye alama ya kuuliza.
 
Back
Top Bottom