Wema Sepetu Gambani

Kwa chuki na visirani vilivyopo,asishangae akipoteza washabiki wa kazi zake kwa sababu ya Kuwa mwanachama wa mafisadi.
 
39-427x600.jpg
haya mpambe wa CCM huyu
 
Kweli magamba watapatapa, kufa maji!! Maandalizi ya mwaka 2015!!! Wasanii kama mlivyo wasanii!!! Chama cha Wasanii=Chama cha Magamba!! Kazi ipo!!
 
View attachment 78945
Panzi! Panzi! Panzi!, Wema Sepetu (shati ya kijani) akifunika uso wake kwa kipochi chake, huku akipiga kelele na kujiingiza katika kundi la wazee, kwa sababu ya kuogopa panzi aliyemdandia wakati wa shughuli za uzinduzi huo shambani

Duuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!! ama kweli kazidi udebwedo anaogopa hata panzi?
 
Mama ndikumana naye hakuwa nyuma. msanii anapoamua kuwa body guard wa msanii mwenzake mhiiiiii
 

Attachments

  • I.jpg
    I.jpg
    15.6 KB · Views: 71
  • L.jpg
    L.jpg
    32 KB · Views: 72
Back
Top Bottom