Wema Sepetu Gambani

Wema Sepetu Gambani

Naona amekamata stearing ya FARMTRAC atazani ni ya VITZ!
Kitu hiyo kuendesha mpaka uwe umekula nguga ya ukweli...
 
Haya masanii mengi ya bongo nimagamba na ndiomaana usanii wao umekua wakubahatisha.kuna limoja liliwah kugombania udiwani likapigwa chini nimabinafs kweli haya majinga
 
Haya masanii mengi ya bongo nimagamba na ndiomaana usanii wao umekua wakubahatisha.kuna limoja liliwah kugombania udiwani likapigwa chini nimabinafs kweli haya majinga
 
Bila kuwa gamba ktk sanaa huyoki alimradi uwepo kwenye kampeni hebu fikiria cd moja jero atatoka lini?
haya masanii mengi ya bongo nimagamba na ndiomaana usanii wao umekua wakubahatisha.kuna limoja liliwah kugombania udiwani likapigwa chini nimabinafs kweli haya majinga
 
wasanii wote wamevutika chamani, nadhani ni mpango mkakati towards 2015

Ndo kazi ya Le Mutuz. Anasahau kuangalia hata maadili ya wasanii anaowabeba. CCM uwezo wao wa kufikiri umetoka kichwani mpaka miguuni.
 
aaahhhhh, kumbe ndio maana wanasafiri sana
Ndo kazi ya Le Mutuz. Anasahau kuangalia hata maadili ya wasanii anaowabeba. CCM uwezo wao wa kufikiri umetoka kichwani mpaka miguuni.
 
Hawa hawaijui CCM. Wawaulize wanafunzi wa UDOM kilichowapata.... Si walitoa tamko mwaka uleeeeee? Mie nikasema Yangu macho, masikio, pua, na mdomo.... Siasa = Si Hasa! Labda watapewa Ukuu wa Wilaya maana nyota zao (Wema + JB) zimeshuka! Hawauzi tena Steps... Unabisha? Nenda Steps utaambiwa!
 
mwanangu Ronn M, wala usishangae sana, ukiona mtu hana nidhamu hata ya mavazi ambayo yanatambulisha utu wake basi ujue mtu huyo kakosa maadili na hakuna jina jepesi la kumwita.

binafsi kama ni mm naenda sehem kama hiyo kitenge kirefu hadi chini tana kisichokuwa na mpasuo kingehusika hapo. tight kama hiyo naweza ivaa nikienda shopping ama nikienda kukutana na friends just for drinks baasi.

Laiti kina dada wangejiheshimu hivyo! Sasa hivi wamejishusha thamani kama nyama ya nyongeza
 
Last edited by a moderator:
MSIKIE WEMA SEPETU AKIREKODI STUDIO

[video]http://www.teentz.com/profiles/blogs/msikie-wema-sepetu-akirekodi-studio[/video]



Show Off!!
 
View attachment 78944
Wema akimkabidhi sh. 500,000 mmoja wa wananchi wa Kwadelo walioathirika na mafuriko. Kwa mujibu wa Diwani Kariati (wapili kushoto), fedha hizo zimetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Meembe ambaye ni mzee wa heshima wa kata hiyo.


sijaelewa sana hii.......................................
Njaa mbaya sana!
 
mapenzi kwanza
 

Attachments

  • WEMANAJBGPL1.jpg
    WEMANAJBGPL1.jpg
    68.1 KB · Views: 33
Back
Top Bottom