Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Kauli ya huyo mdhamini imejaa tabia ya kifisadi, ni kauli inayoonyesha jinsi gani ufisadi unavyoweza kuondoa umakini hata kudharau mahakama."Mheshimiwa hakimu naomba nikachukue barua za kumdhamini kwani nimezisahau kwenye gari nilipoitwa mimi nikaja bila kuzichukua, "alisema mdhamini wa mtuhumiwa wa kwanza
Baada ya muda kupita hakimu Mchauru alisema, "Yaani mahakama imsubiri mtu aenda nyumbani kuchukua barua za kumdhamini mtu, kesi hii naiahirisha hadi hapo itakapotajwa tena Machi 18".
Hakimu mwanzoni aliweza kuingia mtegoni, lakini aliweza kujirudi na anastahili pongezi...!