Kama wao ndio waucheza huo Muziki na wana mbinu mbadala za kuingia Bungeni....kwa nini sasa huwa wanakuja kutupigia magoti Wanachama ili tuwape kura. Siasa ni ujinga na usanii tu...Am very happpy that i didnt vote. Sijutii kwa hilo asilaniWewe keyboard warrior, wenzako wapo front; uwezi kujua uchungu wa kunyimwa sauti kama wao.
Ata siku za maandamano upo JF una type unaogopa virungu, wakati wao ndio wanaokutana na misuko suko ya kwenda polisi na kulala magerezani.
It’s only easy when you don’t have to do it. Hakuna mwana JF au mwanaharakati huko Twitter mwenye kuelewa pain walizopitia hakina Mdee.
Watu wakuamua kwenda bungeni au wasiende ni wao Bulaya, Matiko, Mdee et al maana ndio wanaoucheza huo mziki, sio cowards kama nyie.