Weekend Story! The Workaholics Silence

Weekend Story! The Workaholics Silence

daah pole ya stacy kama mimba si ya gill maana si kwa wivu wa gill akijua alimegewa

Atakumbuka hadi siku aliyowahi mbio mbio kuwahi gagulo ofisini, ataanza kuwaza ilikuaje akaiacha chooni? Hapa mitihani.
 
lara 1 kwa hili dude nimepona, mdaiwa sugu kesho mapema narekebisha mambo.

Katukamata wengi, yaani hii kipande ya mwisho imesikitisha sana...kumbe kaka wa watu he just needed a love from sister. Kweli kwenye maisha Mungu atupe hekima kuwaelewa binadamu wenzetu...
 
Uwiiiiiii....sometimes we think we are better than others....and the worse part is... you cant turn back the hands of time......
 
Interesting u knw how to write kwanini sasa lara 1 u dnt wnt 2 be entrepreneur put it on paper
 
Hiyo sehemu yako ya kwanza, hapo kufuatwa na huyo ndugu yake ofisini ,kubadirisha jina,kumuandikia no kwenye gazeti hadi kwenda kuona nae beak point mpaka kujinyonga ni sehemu ya series movie ya MAD MEN ni copy ,ila umejitahidi...
 
Atakumbuka hadi siku aliyowahi mbio mbio kuwahi gagulo ofisini, ataanza kuwaza ilikuaje akaiacha chooni? Hapa mitihani.
Na kwanini aiache chooni?mana atakumbuka hadi alivyosema kapotea upanga hko,daah!huu mtihan sio mdogo
 
Hiyo sehemu yako ya kwanza, hapo kufuatwa na huyo ndugu yake ofisini ,kubadirisha jina,kumuandikia no kwenye gazeti hadi kwenda kuona nae beak point mpaka kujinyonga ni sehemu ya series movie ya MAD MEN ni copy ,ila umejitahidi...

It can be, HAKUNA JIPYA CHINI YA JUA, MFANANO UNATOKEAGA. Sijaiona hio Mad men ila sishangai maana hata hizi boss kutoka na mfanyakazi wake scene ziko kwenye movie nyingi, Mume kuchepuka pia scene zipo kwenye movie nyingi, so in the end ni kawaida kwa mfanano kutokea.

COPY inakuwa pale unapo SAMPLE THE WHOLE PLOT. Na mimi si copy hata kidogo.
 
Hiyo sehemu yako ya kwanza, hapo kufuatwa na huyo ndugu yake ofisini ,kubadirisha jina,kumuandikia no kwenye gazeti hadi kwenda kuona nae beak point mpaka kujinyonga ni sehemu ya series movie ya MAD MEN ni copy ,ila umejitahidi...

Umejaribu kupitia stori zake ngapi mkubwa? Kuna ma scene anayaleta hadi unafikiri mtu kammuzia CD yako, haya ni maisha maofisi yaleyale, kuchepuka kulekule, sound zile zile watu wale wale, huenda kweli ikafanana lakini haimaanishi ni lazima iwe ni hiyo movie unaiongelea wewe.
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Nimekula hela ya watu, nimejiachiajeee Iddy mmmmh! Nimpokea hela nitoe story, story sinaaa, njaaa imenibanaaa, nikapokea mieeee. Mmmmmmhhhh! Kabla sijaonekana tapeli imenibidi nikusanye story za watu nizilete humu jamaniiii.

Kabla ya yote kuna JF Get Together tarehe 29. Si ya kukosaaaa kabisaaaa.

The Workaholics Silence ita premer leo saa 4 na nusu usiku. Tunarudi corporate sphere upyaaaaaa. Sahivi mambo ya kisomi tu mwanzo mwishooooo. Watu wazima, game za kiutu uzimaaa. STAY TUNED.

kUJIBORESHA NA KUENDANA NA WAKATI NITAANZA KUPAIKANA INSTAGRAM SOON KWA ID YA lara1jfstories. Mnifolow na huko.


THE WORKAHOLICS SILENCE!

The Firm!

Ko! Ko! Ko! Ko! Ko! Ko! Ko! ko! Hellow guys! Helloooooow Stacy! Ko! ko! ko! ko! ko! Shingo zote zinamuangalia Stacy akiishia corridor kwenda ofisini kwake. Wakageukiana wote vijana wa ofisi hio. Jamaniiiii, mmeliona dada la dada shangingiiii, dada kubwa, kina kirefuuuuuu?' "Mmmmmmh pale hatari hivi unajua anakula from Big Hotels tu." Yaaani ni balaaaaa, inaitwa usibonyezeeeeeeee, hivi kawahi kurudia nguo toka aanze hapa mwezi wa 3 huu" "Arudie achekwe." "Guys tuongeee yoteee ila Stacy is my dream girl, will i stand a chance against her? niko serious mwenzenu pamoja na ubandidu wake mimi namuelewa sanaaaa, nimefika bei." HAHAAAAAAAAAAAAA! Umejua kutuchekesha kweli. The only place you will sand a chance with her ni bafuni kwako and her being sabuni yako. HAHAAAAAAAAAA. Wakatawanyika.

Harris akabakia roho ikimuuma watu kumcheka, of course alikuwa anachekesha na kusikitisha manake yeye ndo kwanza yupo Junior officer, na miaka yake 32 wakati Stacy was just 27 and already a director of marketing, amesajiliwa kwa hela kubwa sanaaaa kutoka kampuni aliyotoka, na anaheshimika sanaa humo ndani, kiukweli she lives up to the expectation kuanzia mavazi, gari anayoendesha, simu, anapoishi hakuna anaepajua ila all in all sio mtu mdogo ofisini. And honestly she was every body's dream, sio walioa wale MBA (Married But Available) au single ladies. Kiukweli ilikuwa pasi ndefu.

Stacy akaingia akaaa kwenye ofisi yake. Akaanza kusoma gazeti, akajikorogea kahawa akanywa, akawaza mambo yake matatu manne akaamua kufungua email, akakuta boss wake MD kamtumia email ya kikazi kwamba anahitaji strategy mpya, action plans mpya ni mwezi wa 3 toka aajiriwe kwa pesa alio itaka hakuna alichobadilisha. Roho ikamuenda mbioooo sio kidogo. Akaamua kuwajambisha humo ofisini. Akawatumia skype kuna emergency meeting.

Wakakusanyika wamama na vitambi vyao vya supu 4 au 5 za uzazi, wamejichokeaa wana ngoja ada za watoto siku ziende maisha washayakosea mahesabu kitambo, wababa na vitambi vyao vya bia, wanawaza mda uende waende bar wakanywe wasahau stress zao kutoka kwa wake zao basi. Kwanza hawamkubali kabisaaaa manake wao wameanza kazi Stacy ananyonya atawafundisha nini kuhusu kampuni, just because kawavulia chupi maboss wa 4 wa 5 wa ho kampuni haimaanishi kuwa she is better than them. Hana analolijua and that is final kwao. Na wamepanga wamuhujumu mpaka akome Na fact kwamba ana nyodoooo na dharau ndo ime wa piss off kabisaaa kabisaaaa. Wakawa wametunaaa kama Cobra kwenye hio meeting maana wana uhakika hana jipya ambalo hawajalisikia miaka yao 20 kazini.

Stacy kafika kakaa mbele akawasalimu za leo, familia hazijambo, sasa twende kazi. Boss kubwa anataka strategy mpya, wenyewe mnajua kampuni imekuwa stagnant, hamna growth wala market expansion ndo kisa cha mimi kusajiliwa. So sababu nyie wazoefu nawapa chance ya kutoa ideas kwa uzoefu wenu mnaona twendejae. I am open for opinion and suggestions.

Watu kimyaaaaa. Kama hawajamsikia. Stacy akawakata jicho la dismay. Akawasemesha tena, jamani naongea na nyie, ukimya manake nini? Watu kimyaaaaaa. Mmmmmmh! Laurent who was 35 and going through a nasty divorse na mkewe akaona hapa hapa ndo kw kuwa goodside with the boss. Ukizingatia he really really needs a promotion kuweza ku afford legal fees za kupambana na mkewe na wakwe zake. Akaongea, wenzie wakamkata jicho kali sanaaaa la acha kihere here, akataka kuacha kuongea alivokumbuka bill yake kwa lawayer akaendelea kuongea.

"Stacy mi naona twende with the normal, radio, tv, print. Last year things were really bad sababu hatukuwa na budget, but this year hopefully na ujio wako budget itatoka na tutawakilisha vizuri tu. Sisiunavotuona hapa ndo tumeifikisha kampuni hapo ilipo kwa jitihada hizi hizi na mambo yatakuwa mazuri tu. Akakaaa kimya kusikilizia siasa zake zinaendaje.

Stacy akamjibu thank Laurent but normal is always over rated, jitihada hizi hizi ndo zimemfukuzisha kazi Mzee Hoza na kuletwa mimi, sasa mimi i love my job, wont sit back do nothing mpaka niwe substituted. Times have changed, we have new MD he wanna impress his bosses, i wanna impresss the MD, and you should impress me if you want to see the paycheck a little longer, nomal cant cut it this time, i want effort, new ideas, new vision, new thinking, i want cut throat, i wanna be a virus and infect them all competitors, i want the market for myself. If you are a normal person you cant and ill make sure you wont roll with me. Naona mnanipima imani unity is strong, but i can still divide and rule. Sasa kila mtu binafsi yake anitumie strategy zake anazoona zitafaa na action plan kwa department yake. Kumbukeni tu kuwa you can choose to go down but you wont drug me with you. Meeting adjourned.

Wakatawanyika kimya kimyaaa. Moyoni kila mtu anawaza lake. Huyu anawaza she is really a bich, wengine wanawaza she is tougher than she looks, we unde estimated her. Mwingine anawaza times have changed and so has the job i dont have what it takes anymore, sijui kama nitamsurvive huyu binti. Mwingine anawaza bwana Yesu niteteeee, huyu shetani Stacy ana nguvu kuliko unavodhania Miaka 46 hii nitaenda wapi mimi. Yani ikawa siku nzito ghafla. Kila mtu akawa busy anasoma manake ndo washapewa kazi hio ya kuandaaa.

Ikawa msemezano ofisini kale ka Stacy kamewanyea team yake ni balaaa. Basi kukawa na mgawanyiko wanaomkubali Stacy na wanao mpingaaa. Wanao mpinga wengi walikuwa wale traditional,wacha Mungu, watu wenye familia zao wamebweteka. Wanao mkubali ni wale ambao ni mashangingii, wenye uchu wa madaraka na wanao kama Stacy kawafungulia milango kwenye kampuni ya kushika vyeo vikubwa wakiwa na umri mdogo.

Stacy akahisi ile negative vibe ofisini akaamua kuchukua pochi yake akaenda SeaCliff akabook chumba na kumtumia MD sms whatsup "Missing you babe" Akamtumia na picha yuko na sidiria hotelini. MD ambae nae ni junk tu, kijana mdogo alie manuver manuver akapata hio nafasi kwa connections na utapeli tu akashtukaaa kuona text ya Stacy. kajisemea tu malaya malaya hata umpe cheo gani, umfanyie nini bado atausimamia umalaya wake. Saa 5 hii badala aje na hizo strategy, nafasi nimempa kisiasa at least ajitahidi basi kidogo kuchapa kazi kunipa moyo ndo kwanza nyege mshindo zimemshika akaenda hoteli. Mxiuuuuuuuuuuuuu. Mke wangu mzuri sijui nahangaika nini jitu kama hili. Mxiuuuuuuu.

Akamjibu " Huu si mda wa kazi unawaza tu kutiana? Hizo strategy unazooo au basi tu? Hivi mbona hujielewi wewe?" Stacy akaona lile jibu aka sunyaaa Mxiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu sonyo refu sanaaaa. Akajisemea ama kweli ukiwa mwanamke wa nje utakuwa mwanamke nje tu kwa huyo mzinifu mwenzio hata umfanyie nini, hata umnyonye tigo, umnyoe mazivu kwa meno, umeze shahawa zote, umlambe mwili mzima kama nyoka ila mwisho wa siku utabakia vile vile mwanamke wa pembeni unaehitajika mtu akijisikia nyege tu baaaaaaaassss. Nyege ziiisha huna thamani tena mpaka atakapo pata nyege zingine. Nyege zako wewe hazi count, hisia zako wewe hazicount. Kuliko kuwa mwanamke wa nje bora hata uwe mke wa konda au mpiga debe. Ila akakumbuka Gill alipomtoa, akaamua kutake back he words.

Kiukweli over the years ametokea tu kumpenda Gill, watu wengi wanahisi anamchuna Gill ila ukweli anao yeye moyoni kwamba anampenda. Ni story ndefu sanaa baina yake na Gill. Alimjua Gill kabla hata hajaoa. Gill anaoa kesho usiku wake alilala nae mpaka asubuhi akaamkia kwenye harusi, na siku hio alilewa hatariiiii mpaka akazima mradi tu asiende kufanya fujo kwenye hio harusi. Anamjua mke wa Gill fikaaaa. Na ndoto yake kubwa na tegemeo lake ni Gill aachane na mkewe waoane.

Akamtumia sms whats up, "You can come over for quality time or keep whining" Akangoja Gill hamjibu, holaaaa. Stacy akapanda dau akamtext "Ill suck your balls i promise ukija" Akajua tu hio ni offer he cant refuse. Ikajibiwa " Usinijaribu by Monday kama huna strategy za kueleweka na action plan ilio simama ku present nitakavo kufukuza kazi kama mmbwa hutoaminiii yaani utafurahi na roho yako. Nimemalizaaa." Stack akabamiza simu ukutaniiiiiii.

Mxiuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! Akajikuta tu machozi yana mtoka mfululizo anawaza hivi Mungu nilikukoseaga nini kikubwaaaa mbona hunipendi kiasi hiko. You cant just let me be happy just for fe minutes. WHY?. Akavaa nguo zake akacheck out. Dada wareception akashangaa mara hii? Akajisemea tu moyoni atakuwa kipozeo cha waziri, hapo waziri katingwa amekula hela yake ndefuuuuuu kiulainiiiii. Mungu mbona mimi hizo bahati sipatiiii. Nikila hela ya mtu nitakunjwa usiku mzimaaaa mpaka nitaijamba hela yote ndo nikunjuliwe. Hahahaaaaaaa! Akatabasamu.

Akarudi ofisini akiwa na stress ni balaaaa. Stress level 200%. Akiwa mapokezi akamuona mtu akastukaaaaaa. Angekuwa na pressure angekufa papo hapo. Moyo ukawa unamuenda mbiooo. Akajipa moyo sio yeye bwana anamfananishaaa. Itakuwa hallucination zake za kila siku. Akajongea mpaka reception akiwa na lengo la kupita kabisaaa. Akasikia yule mtu aliehisi ana mfananisha akamsemesha DaTracy! Akastukaaaaaa, akajiambia ndio yeye kabisaaaaaaaaa. Hakuna mtu anaelijua hilo jina la Tracy isipokuwa huyo mtu alie muhofia ndie kumbe ndie kweli. Yule mtu akaendelea kumwambia mimi ni kaka yako Traves, umenisahauuu! Basi hapo akapata uhakika ndie kabisaaaa.

Akamgeukia, mi sio Tracy unanifananishaaa, anageuka pembeni kuwaangalia watu walio hapo ile kupotezeaaa. Sio mimi, sikufahamu. Traves akaonekana kukomaaa, Inmaana dada Tracy mi sikujui? Stacy akaona soo kubwa akaamua kumvuta nje. Traves akawa kashika gazeti. Akamwambia Dada Tracy umenisahau kweli ila mimi siwezi kukusahau kabisaa. Ni miaka mingi sanaa. itakuwa nimebadilikaaa. Anajisemesha hatari. Stacy akamwambia tykutane break point saa 9 mchana tutaongea yote. Akamuandikia namba yake kwenye gazeti.

Akarudi reception akaanza kumfokea receptionist ndo nini kile? Receptionist anajitetea mi sikujua kama humjui boss, mi aliniambia ni ndugu yako? Stacy akamfokea ni kazi yako kujua kama simjui, mi nakuwa harrased na watu wa ajabu ajabu kwa uzembe wako. Mi toka lini nikawa Tracy? Receptionist akaomba msamahaaa. Akaingia ofisini kwake ka jazba kubwa. Siku hio ilikuwa haiendi kabisaaaa.

Akawa amekaa anawaza yule mtu katokea wapiii na kwanini aje leo hiii of all days, na atakuwa anataka nini? Akakosa raha kabisaaa. Kuja kugutuka saa 9 kasoro. Akaeda kukutana nae break point. Kufika akamsikiliza, Dada Tracy nimekutafuta sanaaa, sanaaa, sanaaa, mpaka nishakata tamaaa kabisaaa, ndo juzi nikaona picha yako gazetini umeajiriwa na hii kampuni ila wanakuita Stacy sikuelewa ila picha tu nikajua ni wewe. Nimetokea Arusha kuja kukutafuta Mungu ni mwema nimekupataaa. Miaka yote niliwaza nikikuona tena tutaongea nini?

Stacy akamuuliza jela umetoka lini? Traves akastukaaa! Kumbe dada Tracy ulikuwa unajua nimefungwa? Stacy akamkodolea macho tu. Traves akarudia tena hilo swali? Stacy akamjibu najua na yale mambo yako mengine ya kuaibisha familia yetu na jina la marehemu wazazi wetu nayajua yote ndo maana miaka yote nimekuwa nakukimbiaa, nimefanya jitihada zote kubadili majina na mambo mengi sanaa kukwepa aibu yako nisihusishwe na wewe. Sikupendi na sijakusamehe wala sitokuja kukusamehe, mjadala wetu wa mara ya mwisho uko pale pale, na kila neno nililo kwambia nalimaanisha mpaka leo.

Traves akanyongeaaa, akawa mdogooo roho ikamuuma kumbe mda wote kafungwa dada yake alikuwa anajua hata kumtumia barua na mda wote anamtafuta dada yake kumbe dada yake anamkimbia. Akajiona hana thamani kabisaaa duniani, akajiona anampa shida sanaa dada yake. Akawa maneno yamemuishaaa.

Stacy akamkazia macho, najua umenitafuta kwasababu unataka pesaaa, sawa mi niko tayari kukupa pesa upotee maishani mwangu, nisikuone tenaaaa. Akampa bahasha iliotunaaa. Million 5 hizo fanya utakavo fanya ukitaka tumia hata kwenye mambo yako yale sikuingiliii ila nachoomba sitaki kukuona ena maishani mwangu. Akanyanyuka akamuacha Traves amekaa kwenye kiti. Akawasha gari yake huyo akaondokaaa.

Traves akaichukua ile bahasha akarudi kwa rafiki yake alipofikia uswahilini. Akatafakari mazungumzo yao na jinsi matarajio ya kukutana na Tracy yalivoenda ndivo sivo. Alijua ananyanyasika duniani sababu kapotezana na dada yake, na akaishi ili tu siku akutane na dada yake tena waishi pamoja kwa furaha na upendo kama zamani, kama dada yake ana familia awajue wanaena mumewe, ila mkutano ndo umekuwa wa kukatisha tamaaa kabisaa na kunyongonyezaaa. Akafikiriiaaaaaaaa. Akatoka akaenda dukani kununua kamba ya mkonge, bahasha, karatasi na peni. Akarudi akaandika namba ya stacy juu ya bahasha. Akatengeneza kitanzi akajitundika. Hakutoa kelele yoyote.

Jioni rafiki yak anarud ghetto akamkuta kaninginia akapigwa bumbuwaziii, akaona bahsha 2 juu ya kwanza ina karatasi ndani na namba ya simu. Ya pili imejaa hela. Akazificha zile bahasha na kutoka nje anapiga yoweee Traves kajinyongaaa, kajinyongaaaa. Watu kuja kukata kamba wakamuita Dr. akamcheki akawaambia huyu tayari saa nyingi sanaaa. Kwani hajaacha ujumbe? Ndo James kutoa ile barua yenye bahasha na namba za simu. Wakakata shauri wampigie saa moja usiku huo mwenye hio namba.

ITAENDELA KESHO.
Mamii sitii neno hapa,hakika wewe ni mahiri na ubarikiwe Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen.
 
It can be, HAKUNA JIPYA CHINI YA JUA, MFANANO UNATOKEAGA. Sijaiona hio Mad men ila sishangai maana hata hizi boss kutoka na mfanyakazi wake scene ziko kwenye movie nyingi, Mume kuchepuka pia scene zipo kwenye movie nyingi, so in the end ni kawaida kwa mfanano kutokea.

COPY inakuwa pale unapo SAMPLE THE WHOLE PLOT. Na mimi si copy hata kidogo.
Inaweza kuwa ni mawazo yako ila kwa bahati mbaya au nzuri yakafafana na kitu nilichowahi kukiona,siyo kama sikukubali kwa utunzi wako la hasha nakukubali sana sana ila leo ndiyo kwa mara ya kwanza nimesoma utunzi wako nikiwa sijafika mbele nikaweza kujua nini kinafuatia,ila bado ni nzuri tu.
 
Harris kilimuuma sana kitendo cha demu kalala nae ndani yeye afu MD kupiga simu tu kasahaulika kabisaa akawa haonekani ghafla pamoja na show ya kibabe alionesha mda sio mrefu uliopita kilimuuma sanaa mpaka kwenye uvungu wa moyo wake. Akawaza bora hata asingemuonja yule demu kabisaaa, kumuonja ndo kumeharibu mambo. Raha alizozipata mda ule mfupi hazisimuliki and he can do that forever.

Akakumbuks kitendo cha kutumwa chupi usiku usiki kwanza akawaza apeleke chupi na boxer yake basi tu kumuharibia mambo jumlaaa na kumkomoa MD, na alivibeba vyote chupi na boxer tena boxer yake ya juzi chafuuu kimtindo ili tu kukamilisha ushahidi hahaaaaaa. Alibofika akamkumbuka Stacy akamuua tu kumsaidia hajui kwa nini.

Akakumbuka anamdai mechi moja, akawaza ngoja kwanza adai deni lake hilo afu memngine atayapanga. Akakumbuka toka baada ya tukio akituma sms hazijibiwi, wala simu hazipokelewi. Ila hakuwa na mpango wa kususa kabisaaaa. Akatuliza kichwa akaamia kumbadilishia gia maana alikuwa anamtumia Hi! Hazijibiwi. Akamuandikia sms inhine safari hii. Stacy kumbuka deni letu mimi na wewe, ahadi ni deni. Unanipotezea mi nakuangalia tu.

Ikajibiwa nakumbuka sanaa, wewe mchizi wangu sema nikupe sh ngapi tufute deni. Akasonyaaaaaaa! Akasema unafikiri mi nanunulika? Akamjibu "kwangu you are more important than all money in the world, mi nataka mechi tu na si kingine" Akiwa kaka ikaingia sms toka kwa Stacy, acha hizo kaka, mi nilinusurika kufumwa, sichepuki tenaa, im committed kwa boss. Huwezi jua, thanks for everything that day na kweli unanidai mechi na nalijua hilo ila naomba nikulipe pesaaa tu tumalizane.

Harris akaona mziki mnene kweli kweli, dalili za kulipwa deni lake hazipo kabisaaa, afanyaje sasa, akaamua kumwambia. "Kufidia deni njoo nyumbani tuongee tu, we just talk and thats it. Tunakuwa tumemalizana." Stacy akamjibu " Anyway kama unavotaka sawa ila i thought hela ndo ingekuwa akili kubwa, but i can come we talk" Harris akamuuliza lini specific, Stacy akamwambia atamwambia.

Siku hio hana hili wala lile akaona Stacy anampigia akapokea, akamuuliza upo nyumbani? Akasema nipooo, akamwambia nakujaaa. Akawa kafurahiii, anaomba Munguawe kavurugwa anaweza kupewa mchezooo kama siku ile huwezi jua. Akakimbilia kwa pushaaa kabisaa kumnunulia misokoto walau mi 3 just to keep her in the mood.

Baadae kaja kweli, basi Harris anamiangalia tu hammalizi, kama hajawahi kumuonaaa. Stacy anamwambia you wanted to talk, here i am. Harris akamwambia mi napenda tu kukingali roho yangu kwatuuuuu. Akamtolea msokoto, Stacy akamwammbi situmi siku hizi. Harris akamuuliza kwanini? Stacy akamwambia nina Athma imenianza karibuni wakacheka woteeee.

Stacy akaanza kumsimulia story alivodai ya rafiki yake na kumuuliza Harris atoe ushauri. Iko hivi kuna mti anatoka na married man, siku nyingi sanaa, before he was married, huyo married man ni mtu mzuri generally, sanaa, ana roho ya kipekee, tatizo ndo kwamba mda mwingine mkatili sanaa afu anaendesha sanaa. Sasa the girl alichepuka na mtu mwingine tu one night stand, hamjui kabisaa, ilitokea tu wakawa at the wrong place in the wrong time, afu siku hio hio akalala na mtu wake yule married.

Akaja kujigundua ana mimba, hajui ya nani maana alilala nao wote kavuuuu. Sasa akaamua kuwa single mother which is not easy, and she sucks at it. Akaghairi na kuamia kumshirikisha mume wa mtu ila bila kumwambia direct akamuuliza tu je kama nikibeba mimba utafurahi! Mmmmmmh! Akategemea atalipuka kwa furahaaaa, labda atashangilia au vipi alichojibiwa ni kiwa ukibeba mimba utakuwa hujui nafasi yako na huna shukrani. Utakuwa inamchokonoa mke halali. We nafasi yako ni kuwa Gf, to have fun and goodtimes, kubeba mimba ni kuniweka kwenye cross roads na kutaka haki sawa na mother house na kucomplicate mambo. Nitakushangaa sanaa. Na utakuwa umekosa shukrani kabisaa. Akajobolewa na mengine mengi tu, inshort huyo mume wa mtu akamtahadharisha asibebe mimba.

Kumpa mimba huyu mtu mwinhine haiwezekani. Sasa kama ni wewe ungemshauri nini huyu dada?" Harris akamuuliza kwanini kimpa huyu mtu mwingine mimba haiwezekani sababu hana hela au nini hasa sababu? Stacy akabakia tu anawaza akaishia kugunaaa.

Hadi hapo Harris ashajua mimba ni yake au ya MD, na hakuwa tayari kupoteza haki zake, hata ikiwa ya MD yeye ataikomalia hivo hivo, potelea pote. Akamsogelea Stacy akaanza kumbusu shingoni, baadae mdomoni, akamkumbatiaaa, akawa kamshika tumbo. Akamnongoneza hii mimba ni ya kwangu sio ya MD, i can feel it. Stacy akashtukaa how did he figure it out? Ila akikumbuka alivojobolewa na Gill akawa hana hata nguvu za kukanushaaa.Akawa tu anasikitika na nafsi yake.

Harris tena, akaanza kumvua nguo moja moja baby mama tenaaa, na Stacy akawa anajisikia nyege balaa mpaka akawaza ni mimba nini ndo inamfanya ajisikie horny kiasi hiko. Akaamua tu kutoa mechi kwa baby daddy tenaa, atleast for that night ana baby daddy, na aenjoy even for 1 night kudekaa kama wanawake wengine na yeye. Akazima simu kabisaaa.

Harris tenaaa, basi mara amuwekee mito kwenye kochi asiumie mgongo baby mama, anaendeleza mechi taratibuuu. Anamtania inatakiwa niongeze njiaaaa baba kijacho. Ukifika leba dakika moja tuuuu. Hushonwi hata nyuzi moja. Akampiga cha kwanza kwenye kochiii, Stacy akitaka amkumbatie Harris anagomaa, tutamuumiza mtoto, sitakiwi kulilalia tumbo. Stacy anamwambia tumbo bado dogo bwanaaa, Harris yupo i take no chances na mwanangu. Mpaka mechi inaisha ni kwa ustadi mkubwaaa.

Baadae ana mmasaji miguu, mbona kama miguu imevimbaaa? Hahaaaa! Stacy anamwambia miguu haivimbi mimba ikiwa changaaa, Harris yupo naanza mazoezi mapemaaa. Basi anamuuliza hivi ina miezi mingapi? Stacy anamwambia mi 3. Harris yupo ushaanza clinic? Stacy anamwambia bado, Harris yupo nitakupeleka kesho mama watoto usijali. Stacy akasema ma care haya kiboko. Akasema najisikia kuoga, anawekewa stuli kwenye shower. Hahaaaa! Akasema wenye waume zao wanafaidi si kwa ma care haya, unaweza kuzaa watoto 6 kama Zari. Hahahaaa.

Usiku mzima mechi za taratibu na macare, kila analishika tumbooo, mara alibusu, mara sijui nini yaaani pilika hazimuishiii. Akampora simu akaiweka kabatini japo imezimwa hana amani nayo kabisaaa. Katika story akamuuliza unaona clinic tuanze wapi kesho, wakawa wanajadili kati ya regency au Aghakan. Stacy akachagua Aghakan. Harris akasema atampeleka. Harris akafanya maamuzi kuanzia siku hio hatoki ngoooo kwenye maisha ya Stacy.

Wakalala wote mpaka asubuhi, Stacy akataka kwenda kwake kubadilisha nguo waende clinic sasa, Harris akamkatalia akamwambia avae zake watanunua njiani. Stacy akakubali baba kijacho tena akaamua zile raha azimalizie weekend walau jamani na yeye kidogo loooh. Kufika njiani akachagua gauni, Harris akalikataaa litambana tumbo, jamani baba kijacho huyu ana shidaaaa, akachagua mengine ma 2 ya kuchanua. Harris akalipia 420,000 nguo mbili boxer aliiona ndogo. Akawaza anyway ananipa mtoto sio kesi sanaaa.

Wakaenda clinic, wakaandikisha wakamchagua Dr mhindi yule wa Aghakan, wakaambiwa basics na general idea, vipimo vikaonesha mambo yote safiii. Akapewa kadi lake na akapimwa mpaka HIV yuko fiti. Akambiwa tarehe za kurudi. Mda wa kuondoka akawa Run X inamboaa ashazoea Prado lake liko juu afu comfy ila akajikaza tu. Akajua wanarudi nyumbani. Anaona wanaenda mbezi beach. Akamuuliza safari wapi tenaa, akamwambia tunaenda kula samaki hapo kawe club.

Anaona Mbezi wanaingia ndani ndani akamuuliza vipi tena, akamwambia tunapitia kwa mshkaji kuna kitu nachukua mara moja. Akaamua tu kukaa kimya. Wanafika anamwambia hapa home bwana nataka nikutambulishe kwa wazazi, na kuwapa good news. Stacy akapanic wewe Harris vipi, i am not even sure hii mimba ni yako, you are going too fast. Harris anamwambia MD kashaikataa hii mimba, sababu mimi peke yangu ndo nae itaka basi ni yanguuu.Mmmmmmhhhh! Stacy akashuka sababu washafika.

Mjomba alikuwepo na mkewe wakakaribishwa, basi Stacy yupo jikoni na shangazi yake Harris, anamwambia kwa mara ya kwanza Harris kaleta mchumba nyumbani, miaka 32 sio midogo tushaanza kukata tamaa. Anamuuliza unakaa wapi mwali wangu. Stacy akamwambia Masaki. Shangazi akastuka, kwa wazazi wako? Stacy akamwambia no nimepangaaa. Shangazi akajua yule kibokoooo.

Akaanza kumwambia sasa wewe unakaa Masaki utampenda kweli Harris yatima hana mbele wala nyumaa? Stacy akasema nampendaa ila moyoni akawa anasita mmmmh! Ashazoea Gillbert mahelaa. Akaamua tu kuigiza aone mwisho wa yote. Basi shangazi anamsimuliaaa mambo mia nne. Mda wa kula Harris akawaambia we are expecting. Mjomba akafurahi, akamwambia mama sisi ni watu wazuriii tu, tuta kaa kikao na Harry hapa tuje tujitambulishe tukuchukie jumla jumla. Shangazi ndo kijifanya mkunga sasa maushauri mengiii.

Jioni wakaondokaaa. Weekend ilikuwa na mambo mengi sanaa. Jumapili akashinda kawekwa bed rest na Harry. Anapikiwa, analetewa chochote anachotaka kitandani kwenye movie anapoangalia. Iwe maji, juice, chakula kapikiwa. Akawaza tu i can get used to this. Na mzigo ukaliwa siku nzima sio kwa ma care hayo bure bure.

Jioni akamuaga anaenda kwake, akakataliwa mpka asubuhi ndo ataenda mapema ili wote wawahi kazini. Usiku Harry akamwambia Stacy kwa hio utamwambia MD kwamba una mimba yangu na kubreak up si ndio. Stacy akawa kashikwa kigugumizi akaitikia tu ndio. Harry akamuuliza lini specific. Stacy akamwambia i need time, yule mtu wangu wa mda mrefu, siwezi kumkurupuaaa. Inatakiwa nimpatie pozi nimwambie.

Harry akasisitiza it has be soon, mi sitaki mapenzi ya kujificha, i love you and i want everybody to know, i want to take care of you, sitaki kuwa the man in the shadows. And most of all sitaki uwe unatiana na MD wakati una mimba yangu. Naomba wiki hili lisiiishe hujamwambia. By Sataurday nataka tuwe tunaishi wote. Stacy akasema sawa. Moyoni anawaza haka nako kwa kujitutumua, mia hunaaaa afu unataka nikatibue kwa lodilofa tutaishije mjini. Kijana tuliza vipira hivo mi ndo Stacy nitajua nini cha kufanya.

Harris ndo kadataaaaa, fulll mahaba, anaona dunia rahisiiiii, thubutuuuuuuu! Jumatatu wote wakaingia kazini. Akaenda kumsalimia Laurent, akamuuliza Stacy yuko wapi? Laurent akasema atakuwa kwa boss kubwa. Moyoni akawaza ndo anamwambia huko ukute.

Basi harry anamwambia Laurent, i am so happy, ill soon be a daddy too. Laurent akamsaidia kufurahi. Lau anamchimba baby mama nani kama ni wa pale ofisini akasema hapanaaa. Lau anampa pointers kwamba ajiandae financially na ninj, being a father is the best experience ever. Harry akawa over exited.

Kila saa ana mtext., how are you feeling? Hajakupiga ngumi? Sijui nini wana chat vitu vya kijinga kijinga tu. Mchana akamuuliza unakula nini? Stacy akamwambia nimeagiza Pizza, Harry akamwambia hamna kula Pizza, mtoto atakuwa mkubwa sanaa, you have to eat healthy nakuagiza ugali na kuku wa kienyeji alie changanywa na mboga za majani. Stacy akamjibu sawa baba kijachooo.

Jioni akawa ana hamu waonane, Stacy akamwambia anaenda saloon ila kiukweli ni kwamba alienda ddrinks na Gill. Kila akijitahidi kutaka kumwambia anakosa ujasiri kabisaaa. Mwisho akabakia njia pandaaa asijue cha kufanya. Bahati yake Gill hakutaka mzigo siku hio. Ikawa ndo salama yake. Akawaza kumuacha Gill akili ikamgomea kabisaa ashazoea raha na Harry hana mipango yoyote na hajui kutafuta pesa kama Gill. Akapata wazo amshirikishe Harry wachukie hela kwa Gill za kutosha wafanye biashara zao zikisimama ndo ambwage Gill.

Wakawa wana chat tu mda wote, wanaitana baba kijacho na mama kijacho. Jumatano wakakutana Harry akitegemea Stacy kamwambia Gill and they move foward. Stacy ndo kumwambia huo mpango kazi mpya wa kumuibia Gill. Harry was heart broken, akasikitishwa na akili za Stacy kwanini wamuibie mtu hela zake. Akagoma hio plan ya yeye kuchukua hela za mwanaume mwenzie ambae amemchukulia demu wake. Akaona tu uhasama utakuwa mkubwa sanaaa.

Akaamkatalia, na kumwambia inabidi waende na plan A la Stacy to come clean about their affair na kuwa they are expecting. Stacy akawa haeleweki msimamo wake, anayumba yumba as if hana balls za kufanya hio kazi. Harry akafanya maamuzi magumu moyoni. Akaona trend inavoenda Stacy atakuwa analala na Gill vile vile na tumbo lake. Harry hakuwa tayari kabisaaa.

Kesho asubuhi kachat na Stacy amekula nini, anajisikiaje , huyo kaendaa kwa MD. Secreteary akamgomea, Harry akamwambia mwambie nataka kuongea nae kuhusu Tracy. Secretary alivomtajia hilo jina Gill akamwambia aingie huyo mtu.

Harry kafika pale kamsalimia akawa blant tu, kwamba mimi na Stacy tunapendana sanaa, it wasnt intentional, akamsimuliaa kuhusu siku ile, na kwamba they are expecting and so muvh in love together kwamba Gill aachane na Stacy kama atatafuta demu mwingine atajua yeye au atafocus na mkewe atajua yeye. Ila ukweli ndo huo.

Gillbert akacheka kwanza, Hahaaaaaaa! Kijana umetumwa kuja kinijambisha si ndio. Kakutuma Stacy manake juzi alinijaribu ana mimba nikambalasa sasa ndo kapanga hili igizo kunitishia. Harry akamuonesha screen shot ya chat zao. Gill akazisoma ikaanza kumuinhia kwamba kweli mali zake zimeliwa na zimejazwa mimbaaaa. Kikamuuma sana na mambo yote aliomfanyia Stacy hakumzalia wala hakuwahi kumshikia mimba ila huyu boya wa juzi ashambebea mimba. Akabadilika sura.

Akamkazia sura Harris, kwa hio umeni tombea demu wangu, umemjaza mimba, and you have the balls za kuja kunipangia what should happen next kati yangu mi na demu wangu? You really love her dont you? So do i! Toka ofisini kwangu. Harryndo kujia lichokifanya anajitetea dont take it personal. Gill anamjibu i shouldnt take it personal? Shouldnt i? Unitombee demu wangu nae muweka mjini kwa gharama kubwa and i shouldnt take it personal? Really? At least have the decency to treta a man ambae umechukulia demu na kumjaza mimba with compassion and admit you faulted me. Toka ofisini kwangu. Harry akatoka akiwa mwepesi japo alijua it will coast him jis job.

Akamuuliza secretary huyu kijana unamfahamu? Akajibu ndio yupo floor ya kwanza kule nahisi yupo yupo chini ya kadimu. Gill akauliza anafanya hapa kwahio? Secreyary akasema ndio. Akamuita director of HR. Wakaingia waka lock mlango. Akamwambia kuna kupe mmoja nataka umtimue sekunde hiii kanitombea Stacy! Ht akastukaaa! Mzee gani humu aliekosa adabu? Gill anamwambia sio mzee ni kijana. Bora nagemkaza mke wangu ningemsamehe sio Stacy manake najua kafaidi ma style afu mtamuuu, mke wangu nisingeumia snaa ningejua kafaidi kifo cha menede tu. Direvtor wa HR akawaza kweli boss kaumia mpaka kaanza kutoa siri zake za ndani. Akamujliza kijana gani? Akamwambia Harris. Hr moyo ukafanya paaah maana wanaelewana sio kidogo, akawaza kijana mshenziiii sanaa yule, kamla Stacy aiseeee, itakuwa kafaidi mpaka basi. Hr akaamua kumuokoa, akamwambia u ajua Gill hawa vijana kudeal nao inabidi uende kimwendo kasi. Uki fukuza kazi atapata compassion na affevtion ya stacy wewe niachie mie nitamkaanga humi humu ofisini, nitamuanika juaniiiii, hatorudia tenaaaaa. Gill akakubaliana na Hr.

Akarudi nyumbani saa 4 asubuhi malaria imembana,kutombewa mchepuko kinaumaaa haswaa ukiwa mcharoooo.

ITAENDELEA SAA 5 USIKU.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom