Weekend Story! The Workaholics Silence

Weekend Story! The Workaholics Silence

Hongera sana Lara. Hadithi nzuri mno unasoma huku una magine.na mambo ya mapenzi ofisini unanikumbusha nilivyokuwa nafanya sehemu temporary.huyu wake huyu.lunch time kwenda kupeana ya chap chap.bàadae mambo ya ukimwi watu waliambukizana balaa
 
Andika yako basi iliyokuwa original, tatizo la wabongo kila kitu kujifanya wajuaji lakini kutenda zero. Bora ya yeye aliyekopi yako iko wapi?
Mbona unapayuka sana.huyo mwenye stori yake hajapayuka kama wewe,tujifunze kukosolewa unasema tatizo wabongo ,kweli wabongo tatizo na kwa staili hii tutaendelea kuwa tatizo daima
 
I doubt G did it intentionally! G na harry Hawatapigana kweli??

Gill hawezi kupigana na Harrison, atampiga kistaarab tu. Si umeona hadi HR wamehusishwa? Na yeye alivyombabe kakataa day la 50M sijui anajiamini kitu gani...

Sema itamuuma sana Stacy kujua G kamfanyia kusudi na zile ahadi za ndoa sijui clinic sauzi ilikua giliba tu. Wanaume wabaya sana sie...
 
Naemagine jinsi atakavyokisanua Harris! huu ndo muda wa yeye kupewa dau kubwa zaidi endapo atakuwa na roho ya kaba kama Gill-the silence killer! akijifanya vuvuzela atakosa vyote kazi, hela na Stacy sio type yake nashangaa why hajiongezi tu!
BTW lara 1 thanks mingi mingi make si kwa mautamu haya aseee!! muendelezo mida gani vile?!
 
Bila shaka Harris kamfuata MD na panga huko officen dadeki..!! Ku care kwote kule.
 
This is a Fresh start kwa Harris na Stacy, Gill kabugi maana hii itamfanya Stacy amchukie Na kumpenda zaidi Harris japo hana hela. Ila Gill kweli mafia

Mke wa Gill naye Sio kwa understanding hiyo!! Yani unamualika kimada wa mme kwenye bday za watoto na akiwa ana shida pia una msaidia, Hiyo hata shetani mwenyewe lazima aogope
 
Lala1 ivi hiyo Story utaweka mda gani darling... Please weka Muda wa lunch ili tutoe vizur strecy za magu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom