Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,947
- 177,163
saa 5 asubuhi tukijaaliwa.
Tena nitakuwa nshatoka chachi!
saa 5 asubuhi tukijaaliwa.
Tehe tehe!!!Huu wivuvwa Gill sio kabisa...asingekubali kula papuchi kabla ya kyupi kufwata...Harris nae anamtia kiwewe mwenzie kwa kumchunia msg ila naamini hatamuangusha ili kujiwekea mazingira mazuri kazini.......
My life depends on hio chupi!! Haha nimecheka sanaa hapo lazima kuwe na mission kati ya stancy na harry otherwise hatareeeeeeee
Married men wana wivu hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, atajiwekea mazingira mazuri kazini au kati yake na stancy??? Wee wee weeeeeeeeeee!
Kisigino kimepona? Nataka walau nitoe huduma ya massaji!!!! You need to be comfortable you know🙂
Lazima wawe na wivu wa kufa mnyaturu, guarantee ya kuachwa iko nje nje na hawana uhalali ki sheria wa kuwa na michepuko, kinachoshikilia mpenzi sometimes ni mikwara tu.
Kweli kabisaaaa! Hasa ukute alioa mtu tu ila hajui vitu vingi vingi na hamfanyii tuvitu tudogo tudogo ila twenye radha sana mapenzini kama wewe mchepuko wee patamu hapooo!
Kipoe wapi ndokwanza kinazidi kuuma kama leo nikikanyanyia kisigino tu balaa so nakanyangia toes tu si kwa kuchechemea hapa
Ubuyu wa safari hii upo ki cooperate sana ila ndio hivyo trela la movie tu tayari tushatengua udhu! Kubwa la maadui hajawahi kutuangusha.
Uko chachi ya wapi nikufuate sie ndio akina Harris, ila wasamaria just kutoa huduma ya kukurudisha home end of story. Saaana tupige sehem update kijiupepo na ashkilimu za azamu zikichagizwa na mihogo ya cocobeach....
Kibarua cha Harris kimekua mcharo ila sio kwa kumtafuna mchepuko wa MD...hapo dogo itabidi ajiongeze.
Hapa Sidhani kama nitaenda kwa hiki kisigino na mishemishe za town nitajikuta nimeng'oka na cha pili nishindwe hata huko kuchechemea sasa
Hapa Sidhani kama nitaenda kwa hiki kisigino na mishemishe za town nitajikuta nimeng'oka na cha pili nishindwe hata huko kuchechemea sasa
Ha ha haaa unakataa ofa ya Harris, take me out of this place, nipeleke kokote nisipojulikana.....
Tehteh Sa ndo nachechemea hapa nitakataaje ofa na gari sina,, hakuna namna nipeleke kokote tyu