sina imani na lala, nadhani amebadili gia angani kama yule mwenyekiti wa chama cha kinondonilara 1 ahsante kwa kujilipua ila naamini iko namna imefanyika. Sio mbaya hata hivyo Harry atakua kufa na kuzikana kwa Stacy, hilo linanifariji maisha yanampiga but at least he managed to Keep the girl. Gill nae pesa sio kila kitu, he got cash ila hana maisha ya furaha. Naamini haujapokea mlungula.
Hongera na tunakutakia uzinduzi mwema wa blog yetu pendwa.
sina imani na lala, nadhani amebadili gia angani kama yule mwenyekiti wa chama cha kinondoni
naona umeanza ugomvi mkuu. Unasanifu jina langu?uandishi wako ni ule wakina BEN *MTOBWA* fulani hivi....story ukiisoma unapata picha halisi..sio story mambo ya kufikirika kibao .....
Majina mengine bana![]()
![]()
![]()
na huku upo?Mlungula umemlainisha Lala amefanya kile ambacho hakikutarajiwa... R.I.P shem MALIKAA we will always Love you.. Acha bondia aendelee kuwa na punching bag lake
sasa unadhani ni lako? languuuuuuuuuu.Hilo jina lako?![]()
Tyrion Harry Lannister.
I Hope He Is Not An Imp.
![]()
![]()
![]()
![]()
Sa Tyrion kafikaje huku au lala moko kaiba idea ya Game of throne??

Jina Tu Wamefanana....![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sa Tyrion kafikaje huku au lala moko kaiba idea ya Game of throne??
![]()
![]()
![]()
lara 1 ahsante kwa kujilipua ila naamini iko namna imefanyika. Sio mbaya hata hivyo Harry atakua kufa na kuzikana kwa Stacy, hilo linanifariji maisha yanampiga but at least he managed to Keep the girl. Gill nae pesa sio kila kitu, he got cash ila hana maisha ya furaha. Naamini haujapokea mlungula.
Hongera na tunakutakia uzinduzi mwema wa blog yetu pendwa.