the most famous imp in JFTyrion Harry Lannister.
I Hope He Is Not An Imp.
![]()
![]()
![]()
![]()

Jamani Leo nimeingia blog ya Lara 1 na kusoma Hadith moja matata sana, Pia nimejifunza kubana poo ili njaa isiume![]()
Blog inaitwaje ?Jamani Leo nimeingia blog ya Lara 1 na kusoma Hadith moja matata sana, Pia nimejifunza kubana poo ili njaa isiume![]()
nilipita tu kumsabahi X wife Lala mojana huku upo?
Blog inaitwaje ?
Lara if you ever write a story like this again, I'll bewitch you! Sijawahi kulala saa 9 usiku kisa tu hadithi! Usirudie nakwambia.

Hahaha lara anajua kutukamata aiseeHata wewe huwa unakuja huku? Najua heaven sent huwa halali ila sikujua wewe team popo![]()
si umeona nimemtishia kumloga? sijawahi kesha tena kisa hadithi. Mbaya ni kwamba sikuwa nimeingia muda kwa hiyo nikakuta series zote. Kila nikisema niishie hapa niendelee kesho utamu unazidi kukolea. Hafai huyu mtoto.Hata wewe huwa unakuja huku? Najua heaven sent huwa halali ila sikujua wewe team popo![]()
Baki njia kuu. Na atakukamata tu, hamna namna.Aisee kuna Dada ana mimba changa ya mchepuko .
Juzi kaletewa juice anywe...yeye amegoma anajua imetoka kwa njia kuu...Kwa story ya Lara1 nimejua kazi ya juice
huyo Jamaa kila akipiga simu anauliza kwann hujanywa juicy hadi ugomvi...
Asante Sana Binti story zako zina tufumbua Sana sisi
Hapa naweza sapoti. Na duniani @lara1 ukumbuke kuna psychos unaeza kutana na mtu akakupiga kofi akakwambia thats for harry!sina imani na lala, nadhani amebadili gia angani kama yule mwenyekiti wa chama cha kinondoni
Nani atanikamata?Baki njia kuu. Na atakukamata tu, hamna namna.