Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,311
- 7,955
Lala amelala
Kumradhi story itakuja saa 3 usiku. Hawa wazungu huko kwao hawana kazi wanataka kutupelekesha mchakamchaka watu tushazeek tumejichokea.
Duh! Afadhali umesema ntaacha kuchungulia mpaka saa 3wa wazungu huko kwao hawana kazi wanat
huyu mwanamke yuko vizuri sana "upstairs"...so much talented af anajua mambo kibao,kila kona yumo...ki shuleshule tulikuwa tuna waita "much know",yani katika kila angle ana idea flan
Mkuu huyu she anajua mambo mengi si mchezo, anafaa kuwa FBI".......Akapanga kuendeleza mnunooo. Kesi tu imebadilka jina kutoka civil case mpaka ciminal case, manake mwanzo ilikuwa kesi ya kulalamika kwanini kaoaaa, sahivi ni kesi ya jinai on several grounds, Fraud and conspiracy to commit Fraud......"
lara 1 we ni mkali...unafuatilia vitu vingi sana....kila mahala upo...hizi story zako huwa unazungumzia mambo mengi sana katika hali ya kawaida sio rahisi mtu kuyazungumzia kiufasaha.....we ni mkali kwangu mimi wewe ni zaidi ya Shigongo.... uandishi wako ni ule wakina BEN MTOBWA fulani hivi....story ukiisoma unapata picha halisi..sio story mambo ya kufikirika kibao .....
uandishi wako ni ule wakina BEN *MTOBWA* fulani hivi....story ukiisoma unapata picha halisi..sio story mambo ya kufikirika kibao .....
Majina mengine bana![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
nilisoma vibaya jina niliona km MTOMBWA, Daah mawazo yangu sijui yalienda kwa Stacy!
![]()
Yaa anaweza ukatutosa huyu Director.....!Natamani sana iwe hivyo mkuu, ila huyu rubani simwamini sana, hakawii kulipua mjengo na yeye akiwa ndani. lara 1 kujitoa muhanga sio big deal kwake.
uko wapi jamaniYaa anaweza ukatutosa huyu Director.....!
Nipo team Harrylara
uko wapi jamani