".......Akapanga kuendeleza mnunooo. Kesi tu imebadilka jina kutoka civil case mpaka ciminal case, manake mwanzo ilikuwa kesi ya kulalamika kwanini kaoaaa
, sahivi ni kesi ya jinai on several grounds, Fraud and conspiracy to commit Fraud......"
lara 1 we ni mkali...unafuatilia vitu vingi sana....kila mahala upo...hizi story zako huwa unazungumzia mambo mengi sana katika hali ya kawaida sio rahisi mtu kuyazungumzia kiufasaha.....we ni mkali kwangu mimi wewe ni zaidi ya Shigongo.... uandishi wako ni ule wakina BEN MTOBWA fulani hivi....story ukiisoma unapata picha halisi..sio story mambo ya kufikirika kibao .....