UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
Nafikiria Harry ataishia wapi n Vipi kuhusu Stacy alipata mimba au Aje... And Gill Vip atafulia au Aje Naje
ha ha ....tulia STAR hauwawi ila cha moto atakiona....Aarrgg.... Sasa huyu Harry ndo mambo gani hayo. Ila sihami
Mamii za kupoteana,mambo vipi? lete mkwara kidogo basi au vipi?Mxxxxuuuu. We mtoto uwe na adabu, naongea na babako. Enjoy the ignore.
Jamani wanawake na wasichana MMU kaeni mbali na wajalaana waliochanjiwa mtongoza badala ya mdinar, bora waliochanjiwa mpaundi ingawa unashuka thamani si haba si sawa na kukosa!
Anachofanya director wa hii movie ni kutunyanyasa kisaikolojia ila harry kazingua ndo mambo gan hizi za kupiga wanawakeSafi mkuu, tuko pamoja. Harry team tuko wengi.
Cha moto tunakipata ila badae tutainuka kidedea tuha ha ....tulia STAR hauwawi ila cha moto atakiona....
Anachofanya director wa hii movie ni kutunyanyasa kisaikolojia ila harry kazingua ndo mambo gan hizi za kupiga wanawake
teh teh mimi naogopa na kuchukia wanaume wanaopiga wanawake,ingekuwa Mimi ni Stacy angeondoka usiku huo na virago vyake
ha ha ha ha ha ha dada katoka nduki hatar si kwa kichapo kile cha wenzie ila harry kashanyea kambi aisee
Hivi unajua kombinesheni ya Stacy na Harry lakini? Huyu mtanange hata halftime bado. Weka akiba ya maneno.
Iv ki uhalisia na kwa maisha ya kawaida alichokuwa anafanya Stacy kwa mpwa wake Harry ni sawa au ni kumvunjia heshima?
Maana haya mambo ata kama ni story inabd kufikiria nje ya box, any time inaweza kukugeukia na kuwa kweli.
Unajua kitu kinaitwa.... mapinduzi!Hawana lolote kwa Gill wakasomee! He is a silent killer meeeeeennnnn!
Unajua kitu kinaitwa.... mapinduzi!
Acha tu tulale popote ila hatubadili gia angani.na safari hii jiandaeni kulala kwenye vibalaza
Sasahivi mpo nyang'anyang'a, ngoja mtimuliwe kwa Stacy ndio akili iwakae sawa hahahahaha..........
Unajua kitu kinaitwa.... mapinduzi!
Mweeeee![]()