ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,729
- 34,830
Mmmh!
Mmmh!
Ndio maana nabaki kùsoma lara hasomeki hachelewi kubadilisha gia angani huyo.Me nisha jiandaa kifikra Gill ata yy anaweza kuja kupigwa vile vile na huyu dem mfanya biashara pia ila .............
Harry,.....is a good man but kapigika mpaka amedata.... unajua ukiwa huna hela kila mtu unamuona mchawi..Uko upande wa Gill au Harry?
Harry,.....is a good man but kapigika mpaka amedata.... unajua ukiwa huna hela kila mtu unamuona mchawi..
Hfhahaahahahahah daaah harry anatia huruma kwakwelihapa team Harry lazima muutafute mpira kwa tochi
Harry. My man kapigika lakini hachukui dharau at kwa kuwa kawa lofa...msimamo and nampa big up
Sasa ndio ajichukulie sheria mkononi, mbona mwanamke mwenyewe anaonekana cooperative sana hakuwa violent kiasi cha yeye kuamua kumtwanga makondo kiasi hicho? Stacy mbona alimuomba msamaha baada ya kuona kakosea.Harry. My man kapigika lakini hachukui dharau at kwa kuwa kawa lofa...msimamo and nampa big up
Sasahivi mpo nyang'anyang'a, ngoja mtimuliwe kwa Stacy ndio akili iwakae sawa hahahahaha..........Safi mkuu, tuko pamoja. Harry team tuko wengi.
Team Gill mnajuana tu, mambo ya badoo ndio yenu. Kumwaga pesa kwa vimwana...
na safari hii jiandaeni kulala kwenye vibalazaSafi mkuu, tuko pamoja. Harry team tuko wengi.
Hata mitaroni tutalala ..... *****na safari hii jiandaeni kulala kwenye vibalaza