Weekend Story! The Workaholics Silence

Weekend Story! The Workaholics Silence

Kubwa la maadui(KLM) unatishaaa!! kipaji kutoka mbinguni
 
Same here nimecheka mpaka machozi dada alivyotoka mbioooo jamani nilikua team harry kimya kimya ila i hate guys wanaopiga wanawake, insecure guys kama harry am no longer team harry...!!!Big up @lara1 navyokupenda Mungu pekee ndo anajua...!!!

Usihame Kambi tafadhali, hata Mimi sipendi MTU anaenyanyasa wanawake ila jaribu kuielewa kidogo hali ya Harry na mapito aliyopitia. Please, baki team Harry.
 
Ooooh my Lord!! harry kama maana ya jina lake lilivyo :- to bother
 
Mmmmm mmmmm yani sasa Harry kanya kabisaaaaaa duuu Gill akijua Stacy kapigwa aiseee Harry atafanyiwa umafia balaa

Gill mwenyewe anaufaham moto wa komando kipensi Harry, umesahau alishachezea nakoz bar?
 
Yaani ubaya wote uliotufanyia Jana nikajua Leo tunapumua kidogo kumbe ndio kwanza umezidisha dozi. Team Harry kazi tunayo japo Kambi hatuhami ila mikuki ya moyo itatuhusu sana. Naona kuwa team Harry inabidi uwe na kichwa cha mwendawazimu.
Hhahaha muda si mrefu mtacheka maana yule dem mfanya biashara simuamin ata robo yule kama sio tapeli sijui kama ajaja wapiga kina Gill ela yote wafunge na office wamefilisika sijui!!! Ngoja niendelee kuusoma mchezo.
 
Hivi unajua kombinesheni ya Stacy na Harry lakini? Huyu mtanange hata halftime bado. Weka akiba ya maneno.
Uwanja wa Nyumbani hatuwezi kupoteza na
kamwe hatutegemei ushindi wa mezani au msaada wa REFA
 
Usihame Kambi tafadhali, hata Mimi sipendi MTU anaenyanyasa wanawake ila jaribu kuielewa kidogo hali ya Harry na mapito aliyopitia. Please, baki team Harry.
Mwanaume akiwa Hana ela maranyingi anakuwa kamili mkali sijui kwa nn kila jambo ukisema mwanamke anaona unamzarau kisa huna ela.
 
Mwanaume akiwa Hana ela maranyingi anakuwa kamili mkali sijui kwa nn kila jambo ukisema mwanamke anaona unamzarau kisa huna ela.

Hiyo ni kweli kabisa mkuu, pesa ina nguvu sana. Ujue hata vibaka wana saikolojia ya hali ya juu sana, wanaelewa mwendo wa mtu mwenye pesa na asiyekua nazo. Pesa inabadili hadi mwendo wa mtu bila hata mhusika kujua. Unaweza piga Pamba Kali za kikongoman ila kama hakuna pesa wazee wa kazi hata hawahangaiki na wewe kabisa. Wanajua bosheni tu. Usicheze na nguvu ya pesa, na matatizo yakikusonga sana, hasira na ukali ndio inakua silaha pekee. Simshangai Harry kutembeza kichapo japo sijafurahia.
 
Wenye mioyo myepesi jiandaeni, nasikia Harry Kaolewa na STRACY

Aaaah wapi! Gill ataishia kama mzee wa chumvini kwenye ubuyu wa the art of staying in marriage. Harry mambo yatakaa sawa tu. Haya mapito ni darasa. Ila kwa kipondo alichomshushia Stacy, tawire unajua ngumu. Mbele naona full tinted. lara 1 KLM kipaji kimelala.
 
ha ha ha ha ha ha dada katoka nduki hatar si kwa kichapo kile cha wenzie ila harry kashanyea kambi aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom