carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,569
- 285,617
Mkuu naona lara 1 anaanza kutufanyia figisufigisu hukuHarry keshazoea mitulinga, hii kufilisika ndio kwanza inamuimarisha azidi kuwa chuma cha pua.
Mkuu naona lara 1 anaanza kutufanyia figisufigisu hukuHarry keshazoea mitulinga, hii kufilisika ndio kwanza inamuimarisha azidi kuwa chuma cha pua.
Wa nyweshe mama haina namna hahhhhha unaanzaje kuwa team HarryTeam Harry wanakunywa Diclopar, na ndo kwanza dozi imeanza.
Basi nakuachia nafasi ili ujaribu kunifikiria tena au vipi?Senkyuuu....
dah....ndo maana nimegoma kuchagua timu....lara1 hutabiriki hata kidogo. timu zote nahisi zina gundu hahahahaaa watu washapiga diclopar 4x3 dadekiii, cjui hao wengine dozi yake....Team Harry wanakunywa Diclopar, na ndo kwanza dozi imeanza.
Sasa sister Lara wewe unaona jinsi mabinti wanavyodengua kwangu,basi hebu niunganishie hata mmoja tuuu.Team Harry wanakunywa Diclopar, na ndo kwanza dozi imeanza.
Njoo kwa Gill amna stressWacha nivute pumzi haya mambo ya vilabu hapana.
Ah wapi! Hakuna cha diclopar wala magniziam apa.... Team Harry tuko gadoTeam Harry wanakunywa Diclopar, na ndo kwanza dozi imeanza.
Ha haa nilikumiss uchokozi wako tuDAAH basi nikafikiria utaniitikia kwa bashasha na maraha saaana,ukizingatia tumepotezana muda mrefuuuuu,lakini napata senkyuuu,daaha binadamu sisi?,haya basi inabidi nikubali tu sina jinsi,yaani Valentina huyu huyu ninaemjua?
No P vyente tutakamatia tu, si bado tunaishi......sasa muache huyo malaya aanze kuleta vidharau vyake safari hii tutambwaga mazima...shabashTeam Harry wanakunywa Diclopar, na ndo kwanza dozi imeanza.
Hanywi mtu diclopar hapa team harry hadi movie iishe ila sema usibadili gia angani mana huchelew
tatizo Harry mkurupukaji tu
Mimi team Gill ubabe ubabe tu wanaumeeeeeee......
@lara1 mi sipendi mbona unaitupa stuli wakati kitanzi sijakiweka vizuri